Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,594
- 53,375
Mkuu si jirani yako huyo, unataka picha ya nini wakati mnaonana dailyMbona sijaiona...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si jirani yako huyo, unataka picha ya nini wakati mnaonana dailyMbona sijaiona...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu si jirani yako huyo, unataka picha ya nini wakati mnaonana daily
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaNgoja nitume PM
Penda kwa kiasi, usije jutia yakianza masaibu, warembo ni wengi humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku JF kila kitu ni Almasi mkuu
Kikubwa ni kuwa makini tu mkuuPenda kwa kiasi, usije jutia yakianza masaibu, warembo ni wengi humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata wako, nitafutie na mimi ili tupate sare sare mauaKikubwa ni kuwa makini tu mkuu
Daaahhhh mi nnahamu japo siku moja walau nimuone katoto kazuri, maana hua namjengea picha kichwani jinsi alivyo mzuri na mrembo kwelikweli.
Ana kasura kazuri (baby face) ana shepu matata, rangi ya chocolate, mrefu wastani, chura kama yote, mnato, wa moto n.k
Maendeleo hayana chama
Haka katoto kazuri ni kazuri kwelikweli wallah
Mkuu jitose umfuate pm,labda anaweza kukuelewa,si unajua hawa viumbe tumeumbiwa sisi,ila siku ya kula papuchi unishtue mkuuHaka katoto kazuri ni kazuri kwelikweli wallah
Mimi nikisomaga tu hata comments zake najikuta jeki inaanza kuna nyuma
Yaani mashaallah kamekaa ki utamu utamu, Mola amekapendelea kwelikweli
Maendeleo hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu jitose umfuate pm,labda anaweza kukuelewa,si unajua hawa viumbe tumeumbiwa sisi,ila siku ya kula papuchi unishtue mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakwambia ndo mda huu,bahati inaweza kukuangukia,hata yeye kuna mtu anatamani sana kuwa naye humu,labda ni ww kutokana na unavyomfuatilia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu January hii ndio kwanza mwaka unaanza yaani bado mpyaaa haujavunja hata ungo.
Maendeleo hayana chama
husisahau kunifowadia[emoji658]Ebu fanya haraka kabla sijalala hapa maana nataka nifungie funguo za WhatsApp kabatini
Na humu usipokuwa makini hata dadako,au mamako unaweza kumtongoza humuUnaeza kukuta unaetamani kukutana nae uko nae kitaa kila siku