Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Bado hawajaoza hao...au wamekubali aliyefulia kama wewe!!Njoo Hai nimuonyeshe ulaya ndogo!!
Achana na huyo lizzy usimuonyeshe unapokaa ataharibuuuuuuuuuuuuuuu
Bado hawajaoza hao...au wamekubali aliyefulia kama wewe!!Njoo Hai nimuonyeshe ulaya ndogo!!
Lizzy Bawana anapenda starehe...DIGITALI tu kubonyeza umelala au sio hhahahahaha...asije na la kuamkia kwenda kulizima...watu unageuka tu REMOTI chini ya SITA KWA SITA...hahaha
5-Ng'ombe wa malele.ni rahisi sana,ni vichache tu utaambiwa ulete;
1.kabati ya mbeho
2.pick up ya mala
3.radio ya picha
4.kitanda cha kamba.
hiyo ilinivutia sana hadi nina mpango wa kwenda huko kama sio marangu basi ni kibosho,machame,rombo,hai au kibololoni.razima.
aisee oa kote lakn icwe machame, utabakia historia tu mi nawapenda wamarangu sana ila nao wanaringa sanamimi nawapenda sana.najitahidi kwenda taratibu ili nikioa nisikosee.lazma nioe uchagani.lizzy endelea kufanya hiyo kazi ya kunitafutia kimwana huko ucg.
huyo jamaa aliepelekwa mamsera akaona pick up ziki beba ndizi ajue kwetu uchagani pickup nizakubeba ndizi namajani. wao kwao pick zinabeba watu! wapi na wapi? watu ni ma vogue, hammer,benz,etc
aisee oa kote lakn icwe machame, utabakia historia tu mi nawapenda wamarangu sana ila nao wanaringa sana
razima ndo wapi?
yesuu! uchagani hatuna mamsela! tuna mamsera! we ulienda sumbawanga fara!
Embu acha kunitukana...ntakuua!okay...nmekusoma.kumbe hao ndo wale wanaoua waumezao baada ya kupata...!!.asante sana.halafu nasikia wana mdomo...hao.ukikosa kidogo tu ataongea usiku kucha.dah! kweli.mia.
Embu acha kunitukana...ntakuua!
muharibifu wa lugha huyo umemuona eeh!
hahahah! sisi hatumo huko. Wewe unapenda wanawake wa kichaga, nenda kaoe siku hizi hakuna complication bwana.
muharibifu wa lugha huyo umemuona eeh!
razima ndo wapi?