Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Unataka heshima? Waheshimu wengine kwanza

Gorgeousmimi

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
9,296
Reaction score
7,688
Hellow wapendwa wangu,

Leo tukumbushiane kuhusu heshima.Mwanamke/mwanaume unataka kuheshimiwa jiheshimu.

A real woman of virtue need to have class. Being all trashy,nasty,wild and rude with your big mouth wont make you earn any respect from men actually they will look so down low at you and despise you.

Kama unataka kuargue,argue kwa hoja na ujumbe utafika na kama ni wakusikika utasikika.Nimejifunza kitu kimoja maishani na katika kazi zangu unataka usikilizwe be humble, jinsi unavyowakilisha na kutoa ujumbe wako matters a lot.

"You want people to respect you,respect them and be a good listener"

Hata kama mwenzi wako akikutukana hupaswi kufungua mdomo wako kumtukana. Dada yangu anasema nyamaza kimya,mwanaume si mtu wa kutukanana nae atakudharau na akudhalilishe ujute,na kipigo utapewa juu.

Na wanaume jamani tafadhali mpunguze jazba na nyie mjitahidi kuwa humble, hizi commands and orders si nzuri kwa kweli. Hakuna mtu anayetaka kupelekeshwa ka punda. Tutumie nyama zetu za ulimi ipasavyo.

Wasalaam gorgeousmimi
 
mmmmmh huu naona ni ujumbe special kwa lara 1 ( kidding)
 
Last edited by a moderator:
A real woman of virtue need to have class.Being all trashy,nasty,wild and rude with your big mouth wont make you earn any respect from men actually they will look so down low at you and despise you.Kama unataka kuargue,argue kwa hoja na ujumbe utafika na kama ni wakusikika utasikika.Nimejifunza kitu kimoja maishani na katika kazi zangu unataka usikilizwe be humble,jinsi unavyowakilisha na kutoa ujumbe wako matters a lot.

lara 1 the democrat... any response please....
 
Mie nijuavyo Mwanaume hupenda sana heshima kwasabb ya status yake kama kichwa cha familia (wale candidates wa mama ngaiza hapa tutatofautiana)

lakin pia heshima haiwez kuwepo kama huna upendo na unaye muheshimu.

wanawake wameumbwa kupendwa na hivyo huwez ukampenda mtu afu usimuheshimu.

Wanawake vinatuponzaga midomo, na panic za haraka haraka sana ambazo sio tu kwenye famili bali hata kazin. Ndio umesoma, una hela nk lie low maisha yaende sasa ukisahau kuwa mpole, mwenye kuskiliza zaid na mwenye hoja za kuweza kumconvice mtu kwa maneno yasokuwa na makelele kashfa mwanamke utaish miaka mingi sana kwa amani.
Kuna muda mwingine unatakiwa upriotize tu kwamba huyu kasema hivi kweli lkn je kwa amie kushout out inabadili alichokisema ama itafuta maneno maskion mwa watu?? ukipima ukiona haiwez then unatakiwa uache upepo upite kimya kimya maisha yako yasonge mbele.

Kwa wanaume mara nyingi sana hupandisha hasira wakijibiwa tena kwa jeuri, na hapa sasa ndipo ambapo wanawake huambulia kichapo ila kwa wenye hekima zao huwa wanamsoma mtu akiona tayari kesha loose temper basi anaamua kukaa kimya ama hata kuondoka mbele zake hadi hasira za huyu mtu ziishe.

Nilichogundua kwenye haya maisha wengi wetu hujikuta kwenye maugomvi, visasi, na mikasa mibaya just because hatuwez kutumia approach sahihi mbele ya jambo. na kubwa zaid wanaume wote hata awwe kichaa huwa anapenda zaid kuheshimiwa tu hata kama ukitafuta cha kumheshimu hukioni.
 
clara kuja huku kuna kaujumbe kako.
 
Last edited by a moderator:
when uvumilivu ukiisha aiseee nitarudisha mapigo wakat yeye ana jihisi kupo shwari ..... revenge its good for heart
 
mmmmmh huu naona ni ujumbe special kwa lara 1 ( kidding)

You are wrong Luv. The way I know gorgeousmimi from reading her posts she is not a person to target a single person...Unajua hivi vitu ni kama mahubiri...mhubiri yeyote anayeijua kazi yake na aina ya watu anaowahubiria akitoa mahubiri iwe masjid au kanisani basi several people huwa wanawaza "hivi huyu jamaa huwa anafuatilia mienendo yangu au?"

Point ni kwamba katika jamii huwa watu walewale wanafanya mambo yaleyale..after all cant you see wanawake wengi (sio wote) wana matatizo hayo?

Baada ya hapo, once again gorgeousmimi, you have well exercised those cells in your brain..una akili kama watu wa Bukoba

Thumbs up (mikono ishaanza kuniuma kwa ku-clap)
 
Mie nijuavyo Mwanaume hupenda sana heshima kwasabb ya status yake kama kichwa cha familia (wale candidates wa mama ngaiza hapa tutatofautiana)

lakin pia heshima haiwez kuwepo kama huna upendo na unaye muheshimu.

wanawake wameumbwa kupendwa na hivyo huwez ukampenda mtu afu usimuheshimu.

Wanawake vinatuponzaga midomo, na panic za haraka haraka sana ambazo sio tu kwenye famili bali hata kazin. Ndio umesoma, una hela nk lie low maisha yaende sasa ukisahau kuwa mpole, mwenye kuskiliza zaid na mwenye hoja za kuweza kumconvice mtu kwa maneno yasokuwa na makelele kashfa mwanamke utaish miaka mingi sana kwa amani.
Kuna muda mwingine unatakiwa upriotize tu kwamba huyu kasema hivi kweli lkn je kwa amie kushout out inabadili alichokisema ama itafuta maneno maskion mwa watu?? ukipima ukiona haiwez then unatakiwa uache upepo upite kimya kimya maisha yako yasonge mbele.

Kwa wanaume mara nyingi sana hupandisha hasira wakijibiwa tena kwa jeuri, na hapa sasa ndipo ambapo wanawake huambulia kichapo ila kwa wenye hekima zao huwa wanamsoma mtu akiona tayari kesha loose temper basi anaamua kukaa kimya ama hata kuondoka mbele zake hadi hasira za huyu mtu ziishe.

Nilichogundua kwenye haya maisha wengi wetu hujikuta kwenye maugomvi, visasi, na mikasa mibaya just because hatuwez kutumia approach sahihi mbele ya jambo. na kubwa zaid wanaume wote hata awwe kichaa huwa anapenda zaid kuheshimiwa tu hata kama ukitafuta cha kumheshimu hukioni.

very sweet, I knew you had it in you..but not this much

thanks
 
I hope you're contagious, coz we can really use a few more of your kind in these streets, and in the outside world in general.

Respect must be earned, and kept.


righto man
attempting to add to what you have said would be overdoing things
 
Back
Top Bottom