Unatabiri nini mwisho wa vita hii Iran vs Israel

Unatabiri nini mwisho wa vita hii Iran vs Israel

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
9,462
Reaction score
23,246
Moja ya kiumbe mwepesi kumuangusha katika vita ni mwarabu. Kwa sababu ni Rais kumnunua na kumtumia KUWA Adui wa NDUGU zake. Hii ndio maana maagents wa mossad walikuwa kwenye kazi maalumu KWA miaka mingi kufanikisha HIKI kinachofanyika ndani ya Iran.

Iran itapigwa kirahisi sana kisha itafuatia anguko la Serikali hii ya hayatollah, watakuja wadau wengine ambao watakuwa na msimamo wa kawaida kama wale kabla ya wakina hayatollah hawajachukua nchi.


Nini unadhani itakuwa hatma ya vita hii.
 
Moja ya kiumbe mwepesi kumuangusha katika vita ni mwarabu. Kwa sababu ni Rais kumnunua na kumtumia KUWA Adui wa NDUGU zake. Hii ndio maana maagents wa mossad walikuwa kwenye kazi maalumu KWA miaka mingi kufanikisha HIKI kinachofanyika ndani ya Iran.

Iran itapigwa kirahisi sana kisha itafuatia anguko la Serikali hii ya hayatollah, watakuja wadau wengine ambao watakuwa na msimamo wa kawaida kama wale kabla ya wakina hayatollah hawajachukua nchi.


Nini unadhani itakuwa hatma ya vita hii.
Lakina nchi ya Iran watu wake siyo Waarabu. Rekebisha ili mada iwe RELEVANT
 
Moja ya kiumbe mwepesi kumuangusha katika vita ni mwarabu. Kwa sababu ni Rais kumnunua na kumtumia KUWA Adui wa NDUGU zake. Hii ndio maana maagents wa mossad walikuwa kwenye kazi maalumu KWA miaka mingi kufanikisha HIKI kinachofanyika ndani ya Iran.

Iran itapigwa kirahisi sana kisha itafuatia anguko la Serikali hii ya hayatollah, watakuja wadau wengine ambao watakuwa na msimamo wa kawaida kama wale kabla ya wakina hayatollah hawajachukua nchi.


Nini unadhani itakuwa hatma ya vita hii.
Wataalamu wa fasihi hivi hiyo mnaita oxymoron au paradox au anadiplosis?!!!!
 
Iran, Iraq, Syria, Jordan and Lebanoni kwa asili sio Waarabu; wameingizwa kwenye Arab league tu kwasababu ya DINI ya Uislam but these guys walikuwepo duniani kabla Mwarabu hajaingia duniani. Mwarabu ni product ya mu Iraq na Mmisri, Misri ya weusi.
 
Moja ya kiumbe mwepesi kumuangusha katika vita ni mwarabu. Kwa sababu ni Rais kumnunua na kumtumia KUWA Adui wa NDUGU zake. Hii ndio maana maagents wa mossad walikuwa kwenye kazi maalumu KWA miaka mingi kufanikisha HIKI kinachofanyika ndani ya Iran.

Iran itapigwa kirahisi sana kisha itafuatia anguko la Serikali hii ya hayatollah, watakuja wadau wengine ambao watakuwa na msimamo wa kawaida kama wale kabla ya wakina hayatollah hawajachukua nchi.


Nini unadhani itakuwa hatma ya vita hii.
Irani si muarabu ni Muajemi..
 
Nchi za Kiislamu hazina mshikamano na kibaya zaidi tawala zilizopo madarakani zipo kwa maslahi ya Marekani na crew yake.

Fikiria nchi kama Jordan inazuia na kudungua makombora ya Iran yasipite kuelekea Israel, lakini wakati huohuo Inaruhusu anga lake kutumika na Israel ili kumshambulia Iran.

Yote kwa yote Iran anapambana pamoja na kuwa jesshi la mtu mmoja asiye na msaada kutoka nje bado amekuwa tishio kwa Israel anayeungwa mkono na kusaidiwa kila kitu (fedha, makombora, mifumo ya ulinzi na bado tu anasumbuliwa na Iran.

Je, Iran angepata huo uungwaji mkono kama Israel, unadhani angefanya nini pale mashariki ya kati?
 
Back
Top Bottom