Unasoma kitabu gani sasa hivi?

Unasoma kitabu gani sasa hivi?

mkuu natafuta softcopy ya kitabu kinaitwa 13hours in benghanz. ni kizuri kinaelezea story ya kweli kwa kilichotokea libya tarehe 11sept.2012. kimeandikwa na mitchell zuckof
hebu ngoja nikicheki nitaku pm ninkikipata
 
Hongereni kwa kuweza kusoma e-books..nilijaribu nikashindwa. I do HARD COPIES.


Mwaka wangu mpya huwa unaanza siku niliyozaliwa. Kwa sasa nina siku 13 hadi mwaka mpya wangu. Natarajia kuanza kusoma kitabu chochote cha Dambisa Moyo. Mpaka sasa sijapata hata bookshop yenye kitabu chake. Yeyote atakayepata duka au mahali kilipo anijulishe atakuwa amenipa bonge la birthday gift...nitakinunua mwenyewe!

This is a nice thread. Ningependekeza unapomaliza kusoma kitabu, uandike a short review ya hicho kitabu.
mkuu pale mliman city scholastica bookshop vipo vingi ungekuwa mwaminifu ningekuazimisha cha vya kwangu.
 
mkuu ebooks me naona ndo rahisi hasa kwa sisi ambao hatuna mda wa kwenda bookshops kutafuta vitabu,pia tunakwepa gharama maana ni kudownload tu alafu kuna apps nzuri sana za kusomea ebooks kwa windows mfano ni 'book bazaar reader' na 'book viser' interface yake kama umeshika kitabu vile.....reviews zitakuja bila shaka mkuu

Mh! Labda kwa sababu sikuwahi kusoma kwa kutumia such apps....! Ngoja nijaribu...ila books are interesting huwa nasoma weekend na bongo hii weekend mchana TANESCO wamekata umeme so bado hardcopy kwangu ni advantageous. However lazima nijaribu hizo app na mimi nisiwe nyuma ya dunia!
 
Mh! Labda kwa sababu sikuwahi kusoma kwa kutumia such apps....! Ngoja nijaribu...ila books are interesting huwa nasoma weekend na bongo hii weekend mchana TANESCO wamekata umeme so bado hardcopy kwangu ni advantageous. However lazima nijaribu hizo app na mimi nisiwe nyuma ya dunia!
zipo vizuri mkuu jaribu
 
Back
Top Bottom