HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,550
Wasalaam,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, unaweza kushare tukakisoma wote na tukakijadili kuongeza maarifa, nita ku pm unitumie kwa email na mimi nitakutumia nilivyokwisha visoma nawe upate ujuzi.
Pia binafsi napendelea zaidi non-fiction books na kwa sasa nasoma MODERN ROMANCE by AZIZ ANSARI, nipo page ya 102..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, unaweza kushare tukakisoma wote na tukakijadili kuongeza maarifa, nita ku pm unitumie kwa email na mimi nitakutumia nilivyokwisha visoma nawe upate ujuzi.
Pia binafsi napendelea zaidi non-fiction books na kwa sasa nasoma MODERN ROMANCE by AZIZ ANSARI, nipo page ya 102..