Wasalaam
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza,unaweza kushare tukakisoma wote na tukakijadili kuongeza maarifa,nita ku pm unitumie kwa email na mimi nitakutumia nilivyokwisha visoma nawe upate ujuzi pia binafsi napendelea zaidi non-fiction books na kwa sasa nasoma MODERN ROMANCE by AZIZ ANSARI nipo page ya 102 View attachment 316897