Huyo jamaa aliemshika kiuno kazingua!Lijamaa lenyewe limekaa kizembe, lazima mashemela washike maungo hakuna namna
Huhuhu aiseeKizuri kula na nduguzo...
Fisi limefumwa mchana kweupeeeeeView attachment 814695
Walivaa suti nyeusi ndiyo marafiki zako wa karibu sana na ndo mabest men katika harusi yako
Halafu mwenye mke hana habari kabisa!Kamatia chini!
mnoooo tu ..sio kidogo aiseeejamaa wote ni kama wajeda...dah ila huyo mshikaji kalikamatia zigo sio bure, atakuwa kamla tu huyo mamsap
Haina tatizo...
Kugusa siyo kuchukua...
Hata kwenye mziki unapocheza nyuma ya mwanamke zero distance kabisa mmenatiana haimanishi ndiyo ushalala nae...
Cc: mahondaw
KhaaaView attachment 814695
Walivaa suti nyeusi ndiyo marafiki zako wa karibu sana na ndo mabest men katika harusi yako
Hapo kuna mmoja nimemjua kati ya wale watuView attachment 814695
Walivaa suti nyeusi ndiyo marafiki zako wa karibu sana na ndo mabest men katika harusi yako