Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Ndio hapo sasa!Kweli aisee, ila kibongo bongo hakuna atakayeelewa.
Ndio hapo sasa!Kweli aisee, ila kibongo bongo hakuna atakayeelewa.
KabisaaaNi tamaa tu ila moyo huwa unauma.Na mara nyingi hizi mambo hutokea ukiwa away.ila kama ni around sijawahi.Tena ni mara chache tumshinde shetani kwa kweli michepuko sio dili ni tamaa tu
Hatari sana mkuuKweli unataman umwambia,ila utafufua makaburi.kelele zitapigwa apo na majirani watajua.
Ukicheat ukirudi home unakuwa na wenge lahatari mara ushike remote, mara uweke maji ya kunywa usahau kuyanywa, yaani unaweza hata ukamsalimia mtoto wako mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umewaza mbali sana,Pasaka njema aisee,nmecheka si mchezo.Hii thread inafanya watu wengine tuonekane tuna dhambi nyingi.
kwamba limo humu.Mimi binafsi sina mke , ila nilibahatika kupata mnyaturu mmoja haki ya mungu sina hamu na wanawake tena, alinisaliti mara tano kwa ushahidi wa macho yangu yeye ni mkazi wa singida.
Sasa kuna rafiki yake mambo aliyonieleza nilihisi nimeshakufa niliambiwa yule siyo malaya ni kahaba! Na jamaa linalombeba ni lidingi tu na familia yake na linanafasi kubwa kwenye taasisi ya serikali nadhani limo humu pumbavu kabisa.
Hahaaaaaa,mkuu naona unamsaka huyo mdingi,Ni wewe nini??
Uzi wa watakatifu huu, Akina sisi wenye share na nyoka tukae mbali.Imani yako ni kubwa sana
We mwenzangu huchepukagi. Mi ndo nilikuwa na mawazo hayo ila nimemrudia Mungu. Nimemaanisha hivyo.Mimi kuhusu nini tena???
Kabisa aiseeeUzi wa watakatifu huu, Akina sisi wenye share na nyoka tukae mbali.
Siri ya mtungi mwenzanguWe mwenzangu huchepukagi. Mi ndo nilikuwa na mawazo hayo ila nimemrudia Mungu. Nimemaanisha hivyo.
roho za maweKawaida tu mkuu, tena nacheza naye mechi.
kabisaSiri ya mtungi mwenzangu
Yes, wenge ni ile hali unakua mind haijasettle yani,unajishtukia shtukia hivi Miye miye mzima, vipi wewe Relief?Unaziita wenge?? Habari yako kwanza??
Namshkuru mungu aisee. Natoka kidogo nkiwa free ntakuchekYes, wenge ni ile hali unakua mind haijasettle yani,unajishtukia shtukia hivi Miye miye mzima, vipi wewe Relief?
Ahaahaahaaa mkuu umejibu kiimani saanaKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
😝😝😝 Kuna watu wanatumia pesa zao vibaya sana kwa sasa hivi nikimuona tutamalizanaHahaaaaaa,mkuu naona unamsaka huyo mdingi,
Hakuna mwadamu alie kamilika, ( wote wamefanya makosa na hata kupungukiwa na utukufu ). Nilifanya makosa na dhambi, na nilitubia... ila namuandaa kisaikolojia nije ku confess kwa mwenzangu ili niwe na amani, siku mkaza kwa mda mrefu sana.. kwa hofu ya kumchafua na uchafu wa mwingine