Tunastahili kuitwa nyani kabsaa.
Kugombea madaraka kunasababisha haya yote, kuna mengi yanatuvua nguo.
Ni kama mzee mugabe,nilikuwa namuona mjaanja,nlivyosikia ana mali nyingi kaficha china duh,nguvu zote zikaisha.
Nahisi aliyeturoga kawehuka yuko anaongeza tunguli tu bila kujua anatukaanga.
Sent from my radio