Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
Unapopingana na JPM jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania
UMEME: Ukipingana na JPM watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji kwamba Tanzania tuna umeme wa uhakika kwa gharama nafuu ambao huu umeme wa uhakika utasababisha kujengwa viwanda vingi vitakavyozalisha bidhaa kwa bei nafuu kupunguza ukali wa maisha kwa Watanzania
..
RELI: Ukipingana na JPM unataka kuwakasirisha Watanzania na watakuuliza maswali kuwa unataka tusijengewe Reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Mwanza, Kigoma watakuuliza uwaeleze kwa kina lengo lako maana Reli hii ikishakamilika itaharakisha na kurahisisha ukuaji wa uchumi kwa kupunguza muda na gharama za usafiri
Ukipingana na JPM watu watakuuliza kuhusu kufufuliwa kwa AIR TANZANIA, TTCL, TWIGAL MINERAL processing, AIRTEL, BARICK GOLD COOPERATIONS AGREEMENT, USHIRIKA, VITA YA RUSHWA NA UFISADI.
Ukipingana na JPM watanzania watakuuliza unataka tusipate MIKOPO YA ELIMU YA JUU, HUDUMA BORA ZA AFYA, MAJI SAFI NA SALAMA, MIUNDOMBINU YA BARABARA ZA LAMI.
UMEME: Ukipingana na JPM watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji kwamba Tanzania tuna umeme wa uhakika kwa gharama nafuu ambao huu umeme wa uhakika utasababisha kujengwa viwanda vingi vitakavyozalisha bidhaa kwa bei nafuu kupunguza ukali wa maisha kwa Watanzania
..
RELI: Ukipingana na JPM unataka kuwakasirisha Watanzania na watakuuliza maswali kuwa unataka tusijengewe Reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Mwanza, Kigoma watakuuliza uwaeleze kwa kina lengo lako maana Reli hii ikishakamilika itaharakisha na kurahisisha ukuaji wa uchumi kwa kupunguza muda na gharama za usafiri
Ukipingana na JPM watu watakuuliza kuhusu kufufuliwa kwa AIR TANZANIA, TTCL, TWIGAL MINERAL processing, AIRTEL, BARICK GOLD COOPERATIONS AGREEMENT, USHIRIKA, VITA YA RUSHWA NA UFISADI.
Ukipingana na JPM watanzania watakuuliza unataka tusipate MIKOPO YA ELIMU YA JUU, HUDUMA BORA ZA AFYA, MAJI SAFI NA SALAMA, MIUNDOMBINU YA BARABARA ZA LAMI.