Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Wewe mshenzi kweli! 🤣 🤣 🤣Ina maana una kawaida ya kutonyoa msitu unasababisha ashindwe kula koni kwa harufu jasho la msitu
Wewe mshenzi kweli! 🤣 🤣 🤣Ina maana una kawaida ya kutonyoa msitu unasababisha ashindwe kula koni kwa harufu jasho la msitu
Mimi nina sinland 4 zinatosha mkuu au niongezWakuu habari za weekend,
Leo nakuja na ushauri au maoni yangu juu ya uhalisia wa zawadi tunazopokea toka kwa wapendwa wetu tuwe tunazitafakari kwa upande wa pili. Namaanisha unaletewa Pafyumu au body spray jua kabisa unaharufu mbaya inayomkera mwenzio ila kashindwa namna ya kukwambia na hataki mkwazane.
Haha haha uwe unanyoa unamkwazaWewe mshenzi kweli!
Kutoa au kupokea pesa haijalishi unazo au huna...Sasa unaweza kwenda kumuhonga pesa mtu mwenye pesa
Zinaweza kua mbili ila mpya cha msingi usisubiri zichakae sana mpaka zinafumukaMm Nina sinland 4 zinatosha mkuu au niongez
We kweli Lodi Lofa we na ujanja wako wote ulikua unatumia Pafyum ya kike mpaka demu wako kakununulia pafyum ya kiume sasa unakataa nini afu unajimaliza mwenyewe we Pimbi kweliInaonekana we ni mshamba wa mahusiano. Ebu tuambie wewe ni zawadi gani unampa mpenzi wako ? Kuna brand ya perfume nilikua natumia ila haikua ya kiume nikaletewa brand flani kali sana na ipo ki gentlemen, apo utasema nanuka aya nimeletewa saa mpya ya rado original na ninazo zingine 3 , apo utasema sijali muda?
Mi niliona nguo flani za kulalia kali maali zinevalishwa midoli nikasema daah hii akipiga wife itabamba sana nikamchukulia so itakua alikua analala na jeans ndo maana nikamnunulia au? Acha undezi
Acha mawazo ya kimasikini broHaha haha acheni kupotosha ukipokea zawadi jua kabisa sababu, naamini hata wewe unapotarajia kumpatia mtu yoyote zawadi hua haukurupuki utakaa nakutafakari nini kitamfaa mhusika.
Haha haha hajauzuiliwa kupokea au kutoa ila najua ukiona kuna upungufu kwa fance wako ndio utapeleka msaada wako paleMtoa mada utakua unajihami kutoa zawadi kwa mpenzi wako
Acha sie tuendelee kutoa na kupokea zawadi kwa mabebe zetu
Acha kunipotosha mkuu yaani ni pretend maishaAcha mawazo ya kimasikini bro
mkuu sijalenga kundi ila tunashauriana mapungufu madogo madogo yaliyo ndani ya uwezo wetuAtakuwa callisah mtoa madaaliwasema waimba singeli
Haha haha mkuu nunua tight mpyaMwongo wewe!
LiarHaha haha mkuu nunua tight mpya
ila huu uzi waleo ni comedyNa ukimpelekea mpenzi wako maua mkuu ina maana gani?
hii coment nimecheka sanaKwahio kwa mfano mie birthday yangu nilipewa wallet ina maana sina pesa au?
Mkuu tafuta pesa tu huko unazunguka sanaUkipewa pesa?