green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,304
- 35,851
Wakuu habari za weekend,
Leo nakuja na ushauri au maoni yangu juu ya uhalisia wa zawadi tunazopokea toka kwa wapendwa wetu tuwe tunazitafakari kwa upande wa pili. Namaanisha unaletewa Pafyumu au body spray jua kabisa unaharufu mbaya inayomkera mwenzio ila kashindwa namna ya kukwambia na hataki mkwazane.
Pia ukipokea zawadi ya Chupi kwa Ke au Boxer kwa Me jua kabisa kabisa haupo vizuri kwenye hiyo sector au una chupi zilizokomaa au za kishamba, unaletewa miswaki sabuni mafuta viwembe anataka ung'ae na usafishe mdomo labda usafishi vizuri hunyoi unanuka kama beberu.
Kumbuka mpenzi wako awe ke au me amekutana na watu wengi kabla yako wengine wapo vizuri kuliko wewe sasa hawezi kukwambia ila atakushape unafanane na wale anaona wanafaa zaidi anakupa maujanja japo nawe uonekane mtu.
Kijana kua smart hata kama hauna mpenzi sio kijana au binti unakua na chupi 3 afu unakaa nazo mwaka sinland 2 soksi pea 2 zimetoboka chafu sidiria 2 zimechakaa tight imetoboka mapajani kwa unene huo ni uchafu.
Mimi nikiwa na demu siku ya kwanza nikimuona hayupo smart hua nampotezea mazima...
Leo nakuja na ushauri au maoni yangu juu ya uhalisia wa zawadi tunazopokea toka kwa wapendwa wetu tuwe tunazitafakari kwa upande wa pili. Namaanisha unaletewa Pafyumu au body spray jua kabisa unaharufu mbaya inayomkera mwenzio ila kashindwa namna ya kukwambia na hataki mkwazane.
Pia ukipokea zawadi ya Chupi kwa Ke au Boxer kwa Me jua kabisa kabisa haupo vizuri kwenye hiyo sector au una chupi zilizokomaa au za kishamba, unaletewa miswaki sabuni mafuta viwembe anataka ung'ae na usafishe mdomo labda usafishi vizuri hunyoi unanuka kama beberu.
Kumbuka mpenzi wako awe ke au me amekutana na watu wengi kabla yako wengine wapo vizuri kuliko wewe sasa hawezi kukwambia ila atakushape unafanane na wale anaona wanafaa zaidi anakupa maujanja japo nawe uonekane mtu.
Kijana kua smart hata kama hauna mpenzi sio kijana au binti unakua na chupi 3 afu unakaa nazo mwaka sinland 2 soksi pea 2 zimetoboka chafu sidiria 2 zimechakaa tight imetoboka mapajani kwa unene huo ni uchafu.
Mimi nikiwa na demu siku ya kwanza nikimuona hayupo smart hua nampotezea mazima...