green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,303
- 35,850
- Thread starter
- #81
Hapo sijajua mkuu hata hicho kitabu sijui kina maada ganiMi nilipewa kitabu Cha SOMA KWA HATUA sa sijui anamaanisha nini?
Hapo sijajua mkuu hata hicho kitabu sijui kina maada ganiMi nilipewa kitabu Cha SOMA KWA HATUA sa sijui anamaanisha nini?
kawaida mkuu tunaishi na haya mambokwamba usomaji wako una walakini?
Wallah huyu mtoa mada leo na huyo baby wako Mungu anawazoom
Una muda gani hujampa bebe wako zawadi?kawaida mkuu tunaishi na haya mambo
Ni mwezi sasa toka nimempatia zawadi nzuriUna muda gani hujampa bebe wako zawadi?
Ilikua zawadi gani?Ni mwezi sasa toka nimempatia zawadi nzuri
Ulimpa zawadi ganiNi mwezi sasa toka nimempatia zawadi nzuri
Kwahio kwa mfano mie birthday yangu nilipewa wallet ina maana sina pesa au?
Nili mzawadia gari ili kumrahisishia usafiri wa kwenda kaziniIlikua zawadi gani?
Nilimrahisishia usafiri wa kwenda kaziniUlimpa zawadi gani
Vuchakavu vinavuta hisiaAidha kaona imechakaa mkuu au ipo cheap toafauti na muonekano wako
Mkuu si amekurahisishia ili ufyeke msitu wa KongoDah!!!, Yaani uniletee kiwembe kweli halafu nikubaliane na wewe?!!!.
uma majini wahi kwa gwqjimaBasi ndio maan mimi katika vitu sipendi ni kupewa ZAWADI.
uma majini wahi kwa gwqjima
kwani nikm dole gumbaHua nahisi kama mtoaji anapata shida sana kujua kama ntapenda au lah
Kwahyo hua siipi nafasi kabisa