Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Unaponunua nyumba au kiwanja ni uwekezaji wa kudumu. Ni muhimu ufahamu;
Kiwango cha uhakifu,
Utoro na mahudhurio ya watoto ma shuleni,
Kiwango cha kelele na udhibiti wake.
Haya mambo uyafahamu wakati umehamia, yanaweza hata kuathiri thamani ya nyumba au kiwanja unapotaka kukiuza. Mfano tu majirani wanapiga Mdundiko kila Jumamosi, au sherehe za kumtoa mwari kila mwezi, hamlali usiku mzima ni ngoma.
Unaweza kusema watoto wangu wanasoma Feza kwahiyo tatizo la utoro halinihusu. Ukifanya sherehe utaalika majirani na mtoto anaiga tabia za watu wanaomzunguka.
Kwenye viwanja vya miradi haya mambo utayafajamu vipi?
Kiwango cha uhakifu,
Utoro na mahudhurio ya watoto ma shuleni,
Kiwango cha kelele na udhibiti wake.
Haya mambo uyafahamu wakati umehamia, yanaweza hata kuathiri thamani ya nyumba au kiwanja unapotaka kukiuza. Mfano tu majirani wanapiga Mdundiko kila Jumamosi, au sherehe za kumtoa mwari kila mwezi, hamlali usiku mzima ni ngoma.
Unaweza kusema watoto wangu wanasoma Feza kwahiyo tatizo la utoro halinihusu. Ukifanya sherehe utaalika majirani na mtoto anaiga tabia za watu wanaomzunguka.
Kwenye viwanja vya miradi haya mambo utayafajamu vipi?