babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,024
Wakuu kuna mambo yanachekesha sana.
Kusema ukweli sikuwahi kuwaza kukutana na hawa wakubwa hata siku moja, nimejikuta nimekutana nao sana tu kila mahali.
Nimekumbuka hili nilipomuona Mh. Makongoro Nyerere nikacheka sana.
Huyu jamaa zamani sana MK huko yani nafikiri ilikuwa ni kicheko tu.
Story, pombe story, ataimba weeh mpaka basi, mi mpambe nimo tu napiga makofi.
Haya Mkuu wa Msoga pia katika mazingira tatanishi huyu hapa.
Zamani hizo huyu jamaa kipenzi cha Ikulu.
Nnavyokumbuka wamama mawaziri walimpenda sana na aliwapa wanachohitaji. Upendo
Haya tena tukakutana na mzee kipipa.
Kuuza ndege anunue fimbo kwake sio shida wananchi tule majani.
Hakuna mtu anamwelewa BM,
Mambo yote huyu mkulu alikua hana habari na mtu.
Mind his own bussines,
Mama ndio kila kitu na wadogo zake mle ndani bata bata tu.
Badae mzee wa Msoga kawa Rais, Magu sikuwahi kumuona kipindi hicho
Lowassa, Chenge, Rostam na vidingi vya idara tulikua tunachangia mbususu tu.
Eeh unakaa jirani na maua ili unukie.
Sijui yote yaliishia wapi wakubwa hawa wengi wamekufa wengine wapo wanakula mema ya nchi.
Kusema ukweli sikuwahi kuwaza kukutana na hawa wakubwa hata siku moja, nimejikuta nimekutana nao sana tu kila mahali.
Nimekumbuka hili nilipomuona Mh. Makongoro Nyerere nikacheka sana.
Huyu jamaa zamani sana MK huko yani nafikiri ilikuwa ni kicheko tu.
Story, pombe story, ataimba weeh mpaka basi, mi mpambe nimo tu napiga makofi.
Haya Mkuu wa Msoga pia katika mazingira tatanishi huyu hapa.
Zamani hizo huyu jamaa kipenzi cha Ikulu.
Nnavyokumbuka wamama mawaziri walimpenda sana na aliwapa wanachohitaji. Upendo
Haya tena tukakutana na mzee kipipa.
Kuuza ndege anunue fimbo kwake sio shida wananchi tule majani.
Hakuna mtu anamwelewa BM,
Mambo yote huyu mkulu alikua hana habari na mtu.
Mind his own bussines,
Mama ndio kila kitu na wadogo zake mle ndani bata bata tu.
Badae mzee wa Msoga kawa Rais, Magu sikuwahi kumuona kipindi hicho
Lowassa, Chenge, Rostam na vidingi vya idara tulikua tunachangia mbususu tu.
Eeh unakaa jirani na maua ili unukie.
Sijui yote yaliishia wapi wakubwa hawa wengi wamekufa wengine wapo wanakula mema ya nchi.