Unaona nini katika hii picha?

neno ni upanga

Senior Member
Jun 28, 2022
189
725
Habari wakuu naomba mnisaidie wewe unaona nini kwenye hii picha?

Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.

Ufunuo 13:18

FB_IMG_1690539713071.jpg
 
Habari wakuu naomba mnisaidie wewe unaona nini kwenye hii pacha?????

Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.

Ufunuo 13:18

Sio kila kitu mnakikimbiza kwenye 666 m,Tuacheni tupunue kwanza jamani.Sasa ulitegemea hiyo M Iwekwe bila madoido,haitapendeza kabisaa hapo kwa logo.
 
Mtakuja mfe siku sio zenu khaa🤣🤣🤣,, ila naona kama ni nyoka hiyo 666 sijaiona mimi🤨🤨
 
Back
Top Bottom