Unanunuaje mboga za majani....!!!???

Unanunuaje mboga za majani....!!!???

View attachment 3404149Hata kama umepanga nyumba, sio kisingizio cha kushindwa kua na ka-portable garden kako, kwa kutumia chupa za maji Tu, unaweza ukaanzisha bustani yako ya mbogamboga na ukawa hununui mboga
ee87cf9e-e9a9-44b5-89b3-43c20a8cfd45.jpeg
 
Kama huna kazi za maana za kufanya ndio inabidi uanze kufikiria hivi.
Acha dharau, Kuna watu ni matajiri, waajiriwa wenye kipato kuzuri tu, ila wanaamua kujitengenea bustani zao za mboga mboga kama sehemu ya ziada baada ya kazi zao.

Usiishi Kwa kujisifu eti Kwa kuwa unanunua kila kitu ndiyo una kazi za maana za kufanya.

Muokota makopo ndiyo Hana muda wa ziada wa kutumza hata bustani za mboga mboga.
 
View attachment 3404149Hata kama umepanga nyumba, sio kisingizio cha kushindwa kua na ka-portable garden kako, kwa kutumia chupa za maji Tu, unaweza ukaanzisha bustani yako ya mbogamboga na ukawa hununui mboga

Sisi wengine tumepanga nyumba hazina uzio, ukifanya hivyo ujue umewapandia majirani pia na hapo ujue wale wa kuokota makopo wamekuonea huruma...
 
Hii nzuri sana,kuliko kwenda kununua zenye madawa makalimakali,tunajimaliza.
Makabwela tunaishi kwa hofu sana.

Yaani Kuku ambao wanakula Five Stars Hotel duniani kote Mswahili ambaye hata kula kwake milo miwili ni tabu anakwambia Hao kuku wana Sumu
 
Makabwela tunaishi kwa hofu sana.

Yaani Kuku ambao wanakula Five Stars Hotel duniani kote Mswahili ambaye hata kula kwake milo miwili ni tabu anakwambia Hao kuku wana Sumu
Hao wa five stars bima zao siyo kama hizi ambazo zipo huku,nacwengine hatuna boma za afya kabisa,tahadhari ni muhimu sana,lazima tuishi kwa hofu,maana vile tunavyoweza kuviepuka tusipoviepuka au kuonyesha juhudi za kuviepuka,tukipata madhara,TUNAKUFA kirahisi sana.
 
Back
Top Bottom