Unamzungumziaje Baba Yako

Unamzungumziaje Baba Yako

My dearest father..
Pamoja na machungu mengi na kufanya maisha yetu kuwa magumu, tukinyanyasika na kupigwa danadana na ndugu ilhali wewe ulikuwa hai ukitumbua na vimada wa kila aina....

Pamoja na kumtesa mama, kumpiga kumnyanyasa, kumdharau, kumdhalilisha na hatimae mauti yakamkuta na wala usiende kumzika.....

Bado ninacho cha kukushukuru, asante kwa kunileta duniani. Asante kwa kunipitisha kwny tanuri la moto toka nikiwa mdogo, imenisaidia kuishi na watu wa kila aina.

Thank u for shaping my life father. I hope upo mahali palipokustahili. May u rest in peace.....

Happy fathers day.
jamani mamdogo pole
 
Mwanaume yeyote anayempenda mkewe yupo hivi, hata akimkosoa na kumfokea atafanya hivyo chumbani na sio mbele ya watoto
Kweli, maana sijawahi ona mama na baba wakikaripiana yaani.
Na baba maamuzi yake yote, mipango yake yote mama ndiyo mtu wa mwisho anayegonga muhuri kuruhusu yafanyike au lah.
 
Bwege mmoja hivi anajikuta mjuaji kwa kila kitu ,yeye ndio Mungu hajawai kukosea na hawezi kukosea..
Anapenda sifa za kijinga
Anaweza kukupiga mbele za watu ili wamuone kama anajua kupiga.
Ukifanya kosa hasahau miaka yote
Amempiga sana Mama yangu na kumtukana kwa sababu ya pombe zake
Kosa lako moja linasahaulisha mazuri yako yote sijui atakufa lini huyu bwege simpendi hata kidogo

Nampenda sana mamà yangu tokea nipo mtoto hajawai kunitamkia kauli ya kushindwa
 
Bwege mmoja hivi anajikuta mjuaji kwa kila kitu ,yeye ndio Mungu hajawai kukosea na hawezi kukosea..
Anapenda sifa za kijinga
Anaweza kukupiga mbele za watu ili wamuone kama anajua kupiga.
Ukifanya kosa hasahau miaka yote
Amempiga sana Mama yangu na kumtukana kwa sababu ya pombe zake
Kosa lako moja linasahaulisha mazuri yako yote sijui atakufa lini huyu bwege simpendi hata kidogo

Nampenda sana mamà yangu tokea nipo mtoto hajawai kunitamkia kauli ya kushindwa
Astaghfirullah...
 
Bwege mmoja hivi anajikuta mjuaji kwa kila kitu ,yeye ndio Mungu hajawai kukosea na hawezi kukosea..
Anapenda sifa za kijinga
Anaweza kukupiga mbele za watu ili wamuone kama anajua kupiga.
Ukifanya kosa hasahau miaka yote
Amempiga sana Mama yangu na kumtukana kwa sababu ya pombe zake
Kosa lako moja linasahaulisha mazuri yako yote sijui atakufa lini huyu bwege simpendi hata kidogo

Nampenda sana mamà yangu tokea nipo mtoto hajawai kunitamkia kauli ya kushindwa
Kweli tunatofautiana sana...
 
Bwege mmoja hivi anajikuta mjuaji kwa kila kitu ,yeye ndio Mungu hajawai kukosea na hawezi kukosea..
Anapenda sifa za kijinga
Anaweza kukupiga mbele za watu ili wamuone kama anajua kupiga.
Ukifanya kosa hasahau miaka yote
Amempiga sana Mama yangu na kumtukana kwa sababu ya pombe zake
Kosa lako moja linasahaulisha mazuri yako yote sijui atakufa lini huyu bwege simpendi hata kidogo

Nampenda sana mamà yangu tokea nipo mtoto hajawai kunitamkia kauli ya kushindwa
nimecheka Kama mazuri dahh.. Msamehe bure jamani
 
Caring,understanding
Yani he's my everything...hakuna kiumbe kama yeye katika hii dunia

Happy father's day to all fathers humu JF
Isije ikawa baba yako ndo baba yangu. Huyu mzee ni gentleman wa kupigiwa mfano. Najaribu kuvaa viatu vyake lakini vinanipwaya...

Mungu aendelee kumpa maisha marefu...
 
Nimewahi kumuona mara mbili tuu, sina kinyongo nae, sijawahi kumtafuta hajawahi kunitafuta, ila tuu mda mwingine inatokea ninawaza wadogo zangu kwa hao mama mwingine, sijawahi kuwaona ila iyo siku niliyoonana naye nilienda kwake akaniambia wadogo zako wako shule, wa kiume 1 na wa kike 2, hiyo ilikuwa ni 2002...
 
Namkubali sana baba yangu kwa sababu ni mpambanaji na anajali familia yake licha ya halingumu tuliyo nayo amefight vikal kuhakikisha tunafika hapa tulipo mimi na wadogo zangu kidogo tuna mwanga katika maisha yetu ya mbele.
Nakutakia maisha malefu BABA yangu.
 
Back
Top Bottom