Unamzungumziaje Baba Yako

Unamzungumziaje Baba Yako

Tuko pamoja tunapambana na hali zetu.Unatelekezwa halafu unaachwa kwa Baba na Mama yake Mama yako ndiyo wanakulea.Mama anaenda kuanzisha mji wake huko hataki hata uende utamharibia huko alipo.Hapo utatamani ardhi ipasuke tuu
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Tuko pamoja tunapambana na hali zetu.Unatelekezwa halafu unaachwa kwa Baba na Mama yake Mama yako ndiyo wanakulea.Mama anaenda kuanzisha mji wake huko hataki hata uende utamharibia huko alipo.Hapo utatamani ardhi ipasuke tuu
Dah!!
Hatari Sana.
Nimekuonea huruma mkuu.
 
Hakuna haja ya kumzungumzia Baba, nafikiri ni jambo zuri tupeane changamoto za watoto wetu sisi kina Baba.

Una mzungumnziaje Baba wakati Maisha ya Baba yamesha pita? Tujizungumnzie Ma Baba ni mbinu ipi kwenda sawa na iki kizazi.
 
R.I.P baba! maisha ni changamoto bila kuwepo wewe.Lakini niliamua kuchukua jukumu lako pale tu nilipogundua wewe haupo, nimekua mlinzi wa familia jukumu ambalo utakua very proud of me uko uliko.
 
Father
images%20(1).jpeg
images.jpeg
 
R.I.P baba! maisha ni changamoto bila kuwepo wewe.Lakini niliamua kuchukua jukumu lako pale tu nilipogundua wewe haupo, nimekua mlinzi wa familia jukumu ambalo utakua very proud of me uko uliko.
Bravoo
 
Sijawahi kuishi na baba yangu, nakumbuka hata kaburi lake nililiona kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza form six.
 
Muhuni anaejua majukumu yake
Hakuwahi Rudi mapema home Ila hakuwahi chelewesha ada
Alikuwa mzee wa totoz ila hakujawahi kuwepo ushahidi
Hangover haikuwahi sababisha asikague Kama tumewahi shule
Hakuwahi kuwa mtu wa kukaana familia Xmas ila nguo mpya na pilau halikuikosa meza yetu
He was a good dad ,and am not to judge of being good husband it's .....
 
Habari zenu wanna jf
Katika kuazimisha siku ya kina baba duniani Leo tujadili kidogo namna unavyoweza kuzungumza juu ya baba yako.
Binafsi kwa upande wangu toka nikiwa mtoto namfahamu baba yangu Kama mtetezi ,mlinzi na mtunzaji ,kiongozi,mwalimu na msemaji mkuu wa familia

Sitaki kuimagine maisha bila baba(though Kuna wengine wamepitia maisha hayo Mungu awatie nguvu sana ,R.I.P).

Nakumbuka nilifika darasa la tatu bila kujua kusoma ila baba aliamua kuanzisha darasa maalum nyumbani Hadi nikajua kusoma.

Katika maisha yangu yote ya kusoma baba alisimama Kama baba ilikuwa ni ngumu Mimi kuanza mitihani wowote kuanzia secondari Hadi chuo baba asifahamu na asijue nimepata ufaulu gani.

Namshukuru Mungu kwa ajili ya uwepo wa baba yangu duniani, katika kusherekea siku hi muhimu namwombea sana Mungu aendelee kumweka

Happy Father's day
#Unamzungumziaje baba yako?!
Kiukweli baba yangu ni baba bora, kuhusu kuwa mume bora sina uhakika sana. Anajali, hapendi watoto wake wapate shida....kama sio mama sisi huenda tungekuwa wazembe sana ila kwa yule mwanamke walah tumenyooka, dada yetu mkubwa anamuitaga Head girl
 
Back
Top Bottom