HURIS
Member
- May 18, 2019
- 72
- 60
Bro! Ngoja nijitahidi naweza pata jiko hapa.
Hawa ndio mabinti ukioa unapata raha wako very humble na wanajua upendo ni nini.
Hawa ndio mabinti ukioa unapata raha wako very humble na wanajua upendo ni nini.
hahah wengine si pretenders...ntawaita wasakapeteUtapata mke anayekustahili .
Kwanini uoe "fara"?
Hahah kweli? Karibu sana.Nimempenda sasa I wish angekuwa ndo baba mkwe wangu
Yeah i promise to be the best Dad to you and your kids princess. I carry the best genes, dont sweat it.Wow, I hope you will do the same to our kids
Pole sana,nakuelewaUnabahati kweli wewe.Babangu hajawahi kurudi Toka dukani![]()