Siku hizi ni kawaida watu na vijana waliowengi kuntukuza shetani bila ya wao kujua. ni mbaya sana. Na siku ya mwisho Kila mtu atawajibika!
Siku hizi ni kawaida watu na vijana waliowengi kuntukuza shetani bila ya wao kujua. ni mbaya sana. Na siku ya mwisho Kila mtu atawajibika!
Umetoka moja kwa moja njia ya msalaba na kudondoka JF!
[/QUOTE
Kakolea mahubiri kabla ya kuja jf.
au wewe ni Kakobe?...wee Kakobe wee.....hujatupata bado....hatushikiki kirahisi hivyo
Yani wewe mwenye location |Church Hujui pia??, R u serious?? Unampenda Michael jackson??
sekulu,,,ulipoandika thread uliassume watu wote wako na hiyo location ya church?tunapofundishwa huku church na watumishi si wanajua wote tuna bible ama?ilibidi uainishe kny thread yako kwamba unataka ujumbe gani utufikie,,kama ni massons,au nini?nimetoa tu mf.bda ya kumtaja huyo mike.......
sekulu,,,ulipoandika thread uliassume watu wote wako na hiyo location ya church?tunapofundishwa huku church na watumishi si wanajua wote tuna bible ama?ilibidi uainishe kny thread yako kwamba unataka ujumbe gani utufikie,,kama ni massons,au nini?nimetoa tu mf.bda ya kumtaja huyo mike.......
Bwana bwana!!!!
Haya mambo haya Taratibuuuuuuuuuuuuuuuu jamani!!!