funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Kwa nini umepeleka watoto boarding mapema yote hii jamani? mbona bado wanahitaji kumwona mwona mama au ndio mnatafuta kuwa free? sijaipenda hiyo (from my heart)watoto wapo boarding Funzadume, hizo za kitchen/sitting room 2lizicheza sana h/boy alivyoenda likizo, imagine....no kids/no kaka kunyumba, ilikuwa kufuru....sasa kwenye hali hizi cjui mnapata wapi muda wakuombana?...heri ya mwaka kwako na familia yako my broda!