Zemu
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 518
- 80
Daaak kumbe si mm tu mdemu aliyeniambia hela gani hii, yaani sikuweza kuendelea nae nikammwaga hapo hapo, km raha tumeona wote tena yeye nado kalia sana na vile viguno vya uuuuaaaaaa nakojo.................... kisha kesho yake asubuhi unampa wekundu na jana yake kbla ya game kala km 40 hivi, mi nikaona asepe hata km nimekaa nae muda kidgo, kweli baadhi ya mademu wana tabia mbyaa, wakimegwa na kuachwa wanalalamika.