Mada nzuri mno ,pamoja ya kuwa mimi sio mtaalam wa DNA nina comments hapa under correctional,hii kitu inawezekana kabisa BUT sio hapa nchini,bila shaka politicians wetu wameshatufanya sisi mazuzu mno,mwili unapokuwa umeungua hasa vibaya ni dental formula pekee inayoweza kusaidia kwa uhakika utambuaji wake,wengi wa wananchi wa nchi zinazojielewa wengi wao rekodi za meno yao zimehifadhiwa na dentist wao au hospital kuu,kwetu hapa hakuna kitu kama hiki,na utambuaji huu vilevile unawezekana kwa kuanza kuchunguza wanandugu wa marehemu ili kuweza kulink na marehemu(its a long process),hadi hapo nchi yetu tutakapoanza kuishi inavyotakikana itasaidia mno,ni vema nchi yetu ikaanza kutoa ID number kwa watoto wote wanaozaliwa na kumbukumbu zao zote ziwekwe kwenye central data systems ya nchi;vile vile skull ni mfupa mgumu mno kuungua kwa hiyo brain inakuwa si rahisi kuharibika na hii pia inaweza saidia utambuaji,BUT dental formula ndio muhimu mno,kama unajiweza plea ongea na dentist wako ili akuhifadhie because we never know nini kitatokea.