Huyu ni Prof Simon Mbilinyi, aliwahi kuwa waziri wa fedha miaka ya 1995. Kabla aliwahi kuwa mkurugenzi wa NDC. Alichafuka kwa kashfa za sukari na mapanki ya samaki wa ziwa victoria. Mkewe Prof. Majorie Mbilinyi aliwahi kuwa kiongozi wa TGNP, na mhadhiri wa chuo kikuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.