Duh kumbe jina la Nkundwe hata uchagani yapo?Hapana ni mchaga, huyo unayemsema wewe sie huyu niliyesoma nae lasaba B.
Duh kumbe jina la Nkundwe hata uchagani yapo?
Aisee ngoja nikae mbali nawe
Utakuwa mwanaume wa Dar, unakula makacholiMimi nlimpendaga winifrida bahati mbaya alianzishwa primary nyingine mbali na mm...Kama ningelijua kuandika ningemuandikia barua kipenz changu yule
Mwingine Mariam yani nilimpenda sana imagine nanunua kachori 3 ila nakula moja nataman nmuone lkn kila nkimuulizia simpati
Wewe ulivokua la pili ulkua unakula nini mkuuUtakuwa mwanaume wa Dar, unakula makacholi
Mihogo ya kuchemsha, viazi vya kuchemsha, magimbi n.kWewe ulivokua la pili ulkua unakula nini mkuu
Alafu saiv unakula niniMihogo ya kuchemsha, viazi vya kuchemsha, magimbi n.k
ChakulaAlafu saiv unakula nini