Daullah
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 190
- 46
Hili swala lmekuwa lkiniumza na kunitatza sna hasa pale lnapokuja swala la matumizi ya pesa,hv ukisndwa kumpatia mpenzi wko pesa au kumtimizia hitaji lake on time pndi anapohtaji na kumwambia kwmba hali yko c nzuri hvo akuvumilie kdogo then yy anatoka hpoa na kwenda kwa mashoga zke na kuwaambia kuwa "cjapata kuona mwanaume bahili kma hyu"hvi huo utakuwa ni ubahili au kutokuwa nacho kwa wakati huo?
Swali,
Je neno bahili linatafsiliwaje na hawa warembo?
Swali,
Je neno bahili linatafsiliwaje na hawa warembo?