unamjuaje kwmba hyu ni bahli?

unamjuaje kwmba hyu ni bahli?

ok nashukuru kuwa unajuwa wewe ni bahili. thread inaeleza mtu anaombwa hela for a certain reason but harespond mpaka anamnadi kwa mashosti sasa unaposema tatizo letu ni kuomba with no reasons sikuelewi au we unapenda kuombwa kwa style zako uzijuazo maana kabila lako hilo twalijuaaa!!

Wala hata usihangaike nao hawa mwaya, bahili zao sabuni tu....
 
Wala hata usihangaike nao hawa mwaya, bahili zao sabuni tu....

umeona eh??? halafu wanatusumbua kweli baadae kwa kuleta thread ooooh naombeni ushauri sabuni inaniletea madhara sipati watoto mara mke kakimbia......... kumbe kosa ni huo ubahili
 
umeona eh??? halafu wanatusumbua kweli baadae kwa kuleta thread ooooh naombeni ushauri sabuni inaniletea madhara sipati watoto mara mke kakimbia......... kumbe kosa ni huo ubahili

hata ukikesha unaongea hawaelewi.....ishu mbona easy tu hutaki nkutoa pesa si uishie umetumwa umeitwa!!!!!!
 
inawezekana ukawa bahili kulingana na mlivyozoeana na mpenzi wako, kama alikua na shida na ukamwambia asubiri, na yeye anaona unaweza kumsaidia lazima akuone we bahili, kwani kama ni shida ya haraka sana ungetafuta alternative hata kwa marafiki zako umtoe,.sijajua amekuomba hela kwa minaj ipi,. ila kama hana chochote anachofanya na ndo utaratibu wa kuomba hela daily,.hiyo itakuchosha na hatoacha kukuona wewe bahili, ila kama hajawah kukuomba au ni mara mojamoja na ukamwambia haupo vizuri anaweza kukuona hivyo, kama unampenda mpenzi wako, tafuta namna ya kumsaidia kwa kias fulan pale anapokua na shida, inawezekana nawewe kila anapokuomba huna sasa kwann asikuone wewe bahili?

Hapo unehitimisha! Big up!
 
Hili swala lmekuwa lkiniumza na kunitatza sna hasa pale lnapokuja swala la matumizi ya pesa,hv ukisndwa kumpatia mpenzi wko pesa au kumtimizia hitaji lake on time pndi anapohtaji na kumwambia kwmba hali yko c nzuri hvo akuvumilie kdogo then yy anatoka hpoa na kwenda kwa mashoga zke na kuwaambia kuwa "cjapata kuona mwanaume bahili kma hyu"hvi huo utakuwa ni ubahili au kutokuwa nacho kwa wakati huo?
Swali,
Je neno bahili linatafsiliwaje na hawa warembo?

Pole ndugu...Yamekukuta ndo ukaamua kuja kuutua mzigo humu..
 
- zakiyah na Evelyn Salt kuna tofauti ya spending with her on her na kumpa hela!!!

- I spend sana when i am with your wifi...coz i enjoy doing so!!!

- Ila hajawahi kuniomba hela...ya nini???!!!!!!

- tatizo lenu unaomba bila kutoa maelezo basi tu..kwani mi SACCOSS!!!:high5:

- Yes, mimi bahili! She knows it..n she loves me for that...hehehe...
Nmeipnda hyo broh!wao wnajua ku2mia tu na co kutafta!
 
Last edited by a moderator:
Jaman nmefurahi sna kwa mawazo ynu na mchango wnu ktk hli coz na amin kwa wale wanaume wnye tabia hzi tuache na nyie kna dada mnao omba pesa bla 7bu maalum bac mjirekebshe na msfkiri kwmba kuwa na bf ndo sehmu ya kutatulia matatzo ynu coz mwanaume mwngne anawza fnya yote utakayo in order to win ur heart n the moment u enter into his life hpo ndpo utakapoona the other side of him!so b careful in ur r/ship n dnt be a gold digger!
 
Hili swala lmekuwa
lkiniumza na kunitatza sna hasa pale lnapokuja swala la matumizi ya
pesa,hv ukisndwa kumpatia mpenzi wko pesa au kumtimizia hitaji lake on
time pndi anapohtaji na kumwambia kwmba hali yko c nzuri hvo akuvumilie
kdogo then yy anatoka hpoa na kwenda kwa mashoga zke na kuwaambia kuwa
"cjapata kuona mwanaume bahili kma hyu"hvi huo utakuwa ni ubahili au
kutokuwa nacho kwa wakati huo?
Swali,
Je neno bahili linatafsiliwaje na hawa warembo?

Niliwahi kuwa na mwanaume bahiri alikuwa noma. Kila mara tukitoka out alikuwa analalamika hana hela wakati sijamuomba alikuwa akinikera sana nikaamua kuachana naye.
 
ok nashukuru kuwa unajuwa wewe ni bahili. thread inaeleza mtu anaombwa hela for a certain reason but harespond mpaka anamnadi kwa mashosti sasa unaposema tatizo letu ni kuomba with no reasons sikuelewi au we unapenda kuombwa kwa style zako uzijuazo maana kabila lako hilo twalijuaaa!!

SIPENDWI KUOMBWA!!!!:bounce:

Niliwahi kuwa na mwanaume bahiri alikuwa noma. Kila mara tukitoka out alikuwa analalamika hana hela wakati sijamuomba alikuwa akinikera sana nikaamua kuachana naye.

Huyo sasa alikuwa bahili. zakiyah na Evelyn Salt njoeni hapa muone mfano wa bahili.

Ngojeni niwape mfano wa wifi yenu:

- anafanya kazi

- i love hair so mi humpa pesa ya salon after every two weeks (akitaka kwenda katikati ni sawa at her cost).

- When we go out i spend kabisa (sawa na uwezo wangu) on her na anajua nimetoa all I could

- I buy her gifts regularly.

- Akija kuntembelea I drive her back home
zakiyah niambie, nimpe hela ya nini? si hata ye mwenyewe atanishangaa??!

- Au bado sijaelewa definition ya UBAHILI!???
 
Last edited by a moderator:
mento ishu iko hivi mpenzi wako ana shida unajifanya ooh haki ya Mungu sina hela aisee baba angu uwiii!!! sasa unataka huyo mpenzio akueleweje na mtu ana shida? au ndio mtafutiwe wasaidizi? mpenzio akiwa na shida ya pesa na reason ametoa mpe basi hata kwa kiasi kidogo kuonesha msaada wako. kisa umenipeleka salun na kunirudisha home ndio nisikuombe? mento, mwanaume kutoa babu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mento ishu iko hivi mpenzi wako ana shida unajifanya ooh haki ya Mungu sina hela aisee baba angu uwiii!!! sasa unataka huyo mpenzio akueleweje na mtu ana shida? au ndio mtafutiwe wasaidizi? mpenzio akiwa na shida ya pesa na reason ametoa mpe basi hata kwa kiasi kidogo kuonesha msaada wako. kisa umenipeleka salun na kunirudisha home ndio nisikuombe? mento, mwanaume kutoa babu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mentor na Zakia wote mpo sahihi maybe nahc so far so good 2shamjua mwanaume bahili anakuwaje labda 2ngependa kujua nini maana ya neno bahili?
 
SIPENDWI KUOMBWA!!!!:bounce:



Huyo sasa alikuwa bahili. zakiyah na Evelyn Salt njoeni hapa muone mfano wa bahili.

Ngojeni niwape mfano wa wifi yenu:

- anafanya kazi

- i love hair so mi humpa pesa ya salon after every two weeks (akitaka kwenda katikati ni sawa at her cost).

- When we go out i spend kabisa (sawa na uwezo wangu) on her na anajua nimetoa all I could

- I buy her gifts regularly.

- Akija kuntembelea I drive her back home
zakiyah niambie, nimpe hela ya nini? si hata ye mwenyewe atanishangaa??!

- Au bado sijaelewa definition ya UBAHILI!???

Naomba niwe kidumu chako tafadhali.....
 
mento ishu iko hivi mpenzi wako ana shida unajifanya ooh haki ya Mungu sina hela aisee baba angu uwiii!!! sasa unataka huyo mpenzio akueleweje na mtu ana shida? au ndio mtafutiwe wasaidizi? mpenzio akiwa na shida ya pesa na reason ametoa mpe basi hata kwa kiasi kidogo kuonesha msaada wako. kisa umenipeleka salun na kunirudisha home ndio nisikuombe? mento, mwanaume kutoa babu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

- Aaaaah kumbe ni shida na umenielezea..ok hapo nimekusoma na akikunyima huyo kweli bahili.

- ila hapa assumption yangu shida ni kitu seasonal...si ndiyo?

- halafu hebu mnisaidie mfano wa shida moja ambayo inaeleweka inayoweza kukulazimu kuomba hela kwa boyfriend wako.
 
Naomba niwe kidumu chako tafadhali.....

Na hapo ndipo ubahili kwa wifi yako utakapoanzia maana itabidi nipunguze spending costs kwake nibalansie kwako.

Kama vipi omba kumpindua kabisa...
Nipigie 0714800880 itapokelewa na amu lakini utanipata.
 
Last edited by a moderator:
Nan kakudanganya mi kuna moja niko nayo mwezi wa sita ss huu cjawah mpa ht mia but nakula npaka tigo

Astakafirulah.....dhambi mkuu...umeyatia najisi macho yangu siku hii ya Bwana.

- Smile..ama hakika bahili huyu anafaidi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom