Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Mwl: We JUMA unacheka nini?
JUMA: nimeona paja lako mwl!
Mwl: Huna adabu toka na usirudi hadi kesho.
Mwl: Na we ALLY vipi?
ALLY: Nimeona kamba ya bikini yako.
Mwl: Shenzi, toka na usirudi wiki nzima.
Mwl: Na we BAKARI unaenda wapi?
BAKARI: Kwa nilichokiona nadhani nimefukuzwa shule. JE BAKARI ALIONA NINI?
JUMA: nimeona paja lako mwl!
Mwl: Huna adabu toka na usirudi hadi kesho.
Mwl: Na we ALLY vipi?
ALLY: Nimeona kamba ya bikini yako.
Mwl: Shenzi, toka na usirudi wiki nzima.
Mwl: Na we BAKARI unaenda wapi?
BAKARI: Kwa nilichokiona nadhani nimefukuzwa shule. JE BAKARI ALIONA NINI?