Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Mjusi Kafiri ana tabia ya kukaa kwenye jiwe na/au kupigapiga kichwa chake juu na chini. Kwa kawaida ni muoga mno kwa binadamu. Ila ukimfukuza hadi akachoka uoga wake huisha na kugeuka na kuanza kukufuza wewe mwenyewe.
CCM wamewafikisha Watanzania mahali pa kuacha kuwaogopa tena watawala. Siku isiyokuwa na jina YATATOKEA kwingine yanayotokea leo Arusha, Mbeya, Mwanza, Tarime na kwingineko. Kina fulani mnaojijua mjiandae!??
CCM wamewafikisha Watanzania mahali pa kuacha kuwaogopa tena watawala. Siku isiyokuwa na jina YATATOKEA kwingine yanayotokea leo Arusha, Mbeya, Mwanza, Tarime na kwingineko. Kina fulani mnaojijua mjiandae!??