Unamchukuliaje mwanamke wa aina hii ?

Unamchukuliaje mwanamke wa aina hii ?

Kama wiki moja iliyopita nilienda mkoa kukutana na girlfriend wangu ambae hatujaonana kama miezi mitatu na kwasasa tupo mikoa miwili tofauti, yeye yupo Dodoma mimi nipo Dar.

Nilimuuliza kama hayupo period (bleed) ili nikienda nisishindwe kutikisa nyavu kama Messi na akanambia kwamba yupo vizuri tu hivyo nisiwe na wasiwasi.

Nilivyofika mkoa alikuja nilipofikia na nikapiga zangu game round kadhaa.Baada ya kumaliza kupiga game akanambia kwamba anajiskia kuumwa kisha nikamuuliza hali ile imemuanza siku hiyo baada ya kupiga game au kabla hata ya game akanambia imemuanza kama siku mbili zilizopita.

Nilimuuliza kwanini hakuniambia hali hiyo kabla sijaenda ili kama vipi nihairishe safari akanambia "Niliogopa kukuambia mana najua ungehairisha kuja kuniona wakati mimi nimekumiss"

Je kutokana na kauli yake hiyo je anonesha ana mapenzi ya kweli na mimi au aniektia tu ili nijione napendwa ?

Karibuni tupeane uzoefu wadau
hili swali hata mama ako mzazi hawezi kukuelewa ulivyo mpuuzi.
 
JIONGEZE Mkuu! Hata denda hukupata? Na BJ ya kukupagawisha nayo NEHI?

Mahusiano si kuingiza DYUDYU TU hali kama hizi ni lazima uzitarajie ila tuwe uwe MBUNIFU badala ya KULALAMA.



Kama wiki moja iliyopita nilienda mkoa kukutana na girlfriend wangu ambae hatujaonana kama miezi mitatu na kwasasa tupo mikoa miwili tofauti, yeye yupo Dodoma mimi nipo Dar.

Nilimuuliza kama hayupo period (bleed) ili nikienda nisishindwe kutikisa nyavu kama Messi na akanambia kwamba yupo vizuri tu hivyo nisiwe na wasiwasi.

Nilivyofika mkoa alikuja nilipofikia na nikapiga zangu game round kadhaa.Baada ya kumaliza kupiga game akanambia kwamba anajiskia kuumwa kisha nikamuuliza hali ile imemuanza siku hiyo baada ya kupiga game au kabla hata ya game akanambia imemuanza kama siku mbili zilizopita.

Nilimuuliza kwanini hakuniambia hali hiyo kabla sijaenda ili kama vipi nihairishe safari akanambia "Niliogopa kukuambia mana najua ungehairisha kuja kuniona wakati mimi nimekumiss"

Je kutokana na kauli yake hiyo je anonesha ana mapenzi ya kweli na mimi au aniektia tu ili nijione napendwa ?

Karibuni tupeane uzoefu wadau
 
Back
Top Bottom