Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,460
- 4,771
si hilo hapo juu!!!!!nikumbushe jina lako kwanza lol
si hilo hapo juu!!!!!nikumbushe jina lako kwanza lol
ukome kabisaaa mie sifnyi mambo hayo mtawa mienaona nivea amependa komenti yako, nadhan huwa anaomba mechi kwa x-boy wake..lol
nataka kujua kwa sasa wanchukulije ???hutaki nikusahau?
nataka kujua kwa sasa wanchukulije ???
Namchukia sanaaaaaah
heheheheheheheheh mwanga mkubwa wesubiri umalize :mimba: Lol
heheheheheheheheh mwanga mkubwa we
Huu ndio ukweli na jamaa kawa muwazi vya kutosha wengine ni kujibaraguza tu na kujivunga huku liroho linapwita; ndio mana tangu enzi ilikuwa muhimu mwanamke kuolewa na bikira yake kuepusha upaka shume huuEx ni nyumba ndogo nikijisikia napiga mzigo, haijalishi tuliachana vp hata kama tulishikiana visu kuna muda yataisha na mchezo utaendelea hata kama ameshafunga ndoa
Mabest kihivyo muda tu ndo haujawadia siku yakikukuta majonzi ya kukuchanganya akili watakugegeda kimafungu mpaka utapikeSiyo lazima ajue, kwani hata X wake siyo lazima awajue, na wala siyo tija kuwa na urafiki wa kuwasiliana kila siku kama wapenzi kwani huko kutazaa majanga. Sioni haja ya kuwa adui na mtu mliyekuwa marafiki tena wa karibu hadi mapenzi then mnakuwa maadui kisa kuoa na kuolewa, kama mlishindwana ni matokeo ya kimaisha.... Kama kukumbushiana hata wasipikuwa marafiki siku wakikutana tabia lazima ichukue mkondo wake. Au mwenzangu unaonaje????????. Mimi wapo wawili na ni mabest zangu sana kama miaka 6 au 7 na wala sijawahi kufikiria mapenzi tena ila heshima na kuheshimiana ndiyo msingi.
ohooo, sory sista. tumsifu yesu kristu.....ukome kabisaaa mie sifnyi mambo hayo mtawa mie
Mabest kihivyo muda tu ndo haujawadia siku yakikukuta majonzi ya kukuchanganya akili watakugegeda kimafungu mpaka utapike
Ukiwa na ex mmoja mara nyingi inakuwa ngumu sana kumsahau ila baada ya kujaza "ki-noah " inakuwa ishu ya kawaida sana.
Kwangu ni rafiki wa kawaida ambaye hata iweje no rematch, itabaki kuwa urafiki tu, ila akiwa na chuki binafsi namuacha kama alivyo.