Unamchukuliaje ex wako?

Unamchukuliaje ex wako?

yu ma best frnd na kila mtu anajua mpaka wake........hatukuachana kwa shari kwnn nimchukie.
 
Ukiwa na ex mmoja mara nyingi inakuwa ngumu sana kumsahau ila baada ya kujaza "ki-noah " inakuwa ishu ya kawaida sana.
Kwangu ni rafiki wa kawaida ambaye hata iweje no rematch, itabaki kuwa urafiki tu, ila akiwa na chuki binafsi namuacha kama alivyo.
 
Ucmchukie loôks like ur still into hm/her ku avoid other disapointment km u ar in other relationshp punguza contact nae asije akaku take for granted

great words...saivi nimepunguza nina mwez cjamtxt. ..
najua saivi hakosi mtu...sitaki kujuwa nikijuwa nitaumia sana..mapenz ni kwere.. anajuwa bado nampenda sana japo nina mwingine na yeye ajui
 
EX wangu ananiogopa, hataki kukutana na mimi. Japo kila siku tunachat stories za muvies tu nothing less nothing more.
 
Nice lakini mimi siwez kua na aman mume/boifrend akiwa karibu na Ex wake nakua nahisi wanaenda kukumbushana enzi

Siyo lazima ajue, kwani hata X wake siyo lazima awajue, na wala siyo tija kuwa na urafiki wa kuwasiliana kila siku kama wapenzi kwani huko kutazaa majanga. Sioni haja ya kuwa adui na mtu mliyekuwa marafiki tena wa karibu hadi mapenzi then mnakuwa maadui kisa kuoa na kuolewa, kama mlishindwana ni matokeo ya kimaisha.... Kama kukumbushiana hata wasipikuwa marafiki siku wakikutana tabia lazima ichukue mkondo wake. Au mwenzangu unaonaje????????. Mimi wapo wawili na ni mabest zangu sana kama miaka 6 au 7 na wala sijawahi kufikiria mapenzi tena ila heshima na kuheshimiana ndiyo msingi.
 
Kama nilimbwaga mimi sihitaji hata kumsikia, ila nikibagwa nitajitahidi kubembeleza ili nirudi kwenye position yangu.
 
Siyo lazima ajue, kwani hata X wake siyo lazima awajue, na wala siyo tija kuwa na urafiki wa kuwasiliana kila siku kama wapenzi kwani huko kutazaa majanga. Sioni haja ya kuwa adui na mtu mliyekuwa marafiki tena wa karibu hadi mapenzi then mnakuwa maadui kisa kuoa na kuolewa, kama mlishindwana ni matokeo ya kimaisha.... Kama kukumbushiana hata wasipikuwa marafiki siku wakikutana tabia lazima ichukue mkondo wake. Au mwenzangu unaonaje????????. Mimi wapo wawili na ni mabest zangu sana kama miaka 6 au 7 na wala sijawahi kufikiria mapenzi tena ila heshima na kuheshimiana ndiyo msingi.
Yeah hapo sawa,binafsi sinaga makuu ila niliona haujaridhika na fact kua we are not together ntajitahid kukaa mbali nawe maana hauwez kua mtu mzur kwangu ivo ni salamu tu tena tukikutana ila sio ya kusalimiana kila siku asubuhi mchana na jioni
 
Ex ni nyumba ndogo nikijisikia napiga mzigo, haijalishi tuliachana vp hata kama tulishikiana visu kuna muda yataisha na mchezo utaendelea hata kama ameshafunga ndoa

Ndo umapt atayekubaliana kuwa nyumba ndogo... mwanamke uliyemwacha na mwenye heshma zake na mwenye mapenzi na mumewe hawezi kubalina na huo ujinga.
 
Mimi siwezi kurudia match na Ex hata kwa bahat mbaya yan hata nkimuona roho haishtuki mayb kwasababu sikuwah kumpenda na hana kitu special cha kunifanya nirud

bitter....
 
sioni haja ya kuwa maadui wala marafiki la msingi ni kutizama mbele na utakapokuwa kwa wakati huo na huyo alopita aendelee kupita na njia zake... ila hawezi kuwa mtu wa maana wala wa muhimu tena kwangu.
 
kenge tu na nashukuru sijawahi kutana nae toka tumemwagana wala kuwasiliana kwa njia
yyt

aiii wewe! sasa akiwa Kenge basi nawewe ni kenge coz hakuna kenge anaekuwa na uhusiano wa kimapenzi na kuku?! au basi wewe utakuwa mjusi or mamba coz at least wanaelekeana na unaweza ukawafananisha kidunchu.
 
Mi namchukulia kama mtu wa kumringishia manake toka tumeachana yupo kama kafulia, videmu vyake viwanachuo vinampiga mizinga hata sio vya maendeleo! Anabakia kushangaa hee una mtoto hongera, mara hee umenunua gari hongera! Mi natuuupa kule, ujinga wake mwenyewe kuniacha

bitter...
 
Ndo umapt atayekubaliana kuwa nyumba ndogo... mwanamke uliyemwacha na mwenye heshma zake na mwenye mapenzi na mumewe hawezi kubalina na huo ujinga.

Radha ya mapenzi inatofautiana hata kama anamuheshimu vipi mumewe kama hamfikishi kwenye mambo yetu heshima inapungua ndo maana siku hizi wapaka rangi wa kucha, wauza mboga wanaotembeza majumbani na wakata majani wamepanda thamani kwa kutoa huduma iliyokamilifu. Wale wazee wakushinda maofisi/kwenye magari/kwenye kilevi wakirudi home wanalala tu wataendelea kupewa heshima ya kutunza familia
 
Ukiona anakuwa adui kupitiliza ujue ulikuwa humridhishi kwenye idara nyingi na sasa amepata anayemridhisha so lazima akuchukuie kwa kumpotezea muda ila kama ulikuwa unamfikisha vizuri hawezi kukusahau, atakuchukia kwa yote ila atakukumbuka kwenye sekta flani na lazima awe anaomba friend match za hapa na pale
naona nivea amependa komenti yako, nadhan huwa anaomba mechi kwa x-boy wake..lol
 
Back
Top Bottom