Unamchukuliaje ex wako?

Unamchukuliaje ex wako?

Gang Chomba, yote hayo ya nini mkuu. Please let go of all the pain and anger from the past. Unajitwika mzigo wa chuki ... try to let it go. Pole kwa yote yaliyokukuta.
 
Last edited by a moderator:
Mi namchukulia kama mtu wa kumringishia manake toka tumeachana yupo kama kafulia, videmu vyake viwanachuo vinampiga mizinga hata sio vya maendeleo! Anabakia kushangaa hee una mtoto hongera, mara hee umenunua gari hongera! Mi natuuupa kule, ujinga wake mwenyewe kuniacha
 
U are not over him lol
Mi namchukulia kama mtu wa kumringishia manake toka tumeachana yupo kama kafulia, videmu vyake viwanachuo vinampiga mizinga hata sio vya maendeleo! Anabakia kushangaa hee una mtoto hongera, mara hee umenunua gari hongera! Mi natuuupa kule, ujinga wake mwenyewe kuniacha
 
Mmmh so u once dated a funny and loser guy?were u loser too?
wala nikiwe, m over him totally n completely. I love baba Beata n he will be the last man in my life, infact I find my ex very funny and a loser too
 
Mimi hata tubaki duniani wawili tu(Mimi na yeye) hawezi kupata hata salamu yangu
 
I am sorry it was that way but m glad its over. Yalopita si ndwele tugange yajayo
 
Mi namchukulia kama mtu wa kumringishia manake toka tumeachana yupo kama kafulia, videmu vyake viwanachuo vinampiga mizinga hata sio vya maendeleo! Anabakia kushangaa hee una mtoto hongera, mara hee umenunua gari hongera! Mi natuuupa kule, ujinga wake mwenyewe kuniacha
Hahaha kitu cha dolidoli,jaman vbaya ivo
 
Habari zenu wanajamvi ni matumaini mu wazima kabisa
Nauhakika asilimia kubwa yetu humu tumepitia mahusiano kadhaa kabla ya ndoa(kwa waliooa na kuolewa) na kwa wale ambao hawako katika mahusiano sasa baada ya kukumbwa na mahasibu tofauti tofauti,na kila mtu ana mtazamo tofauti kwa hao ma EX,je wewe unamchukuliaje EX wako?Rafiki yako?Adui?
Binafsi EX hawezi kua rafiki yangu wala adui yangu yan namuweka katika group la mtu wa kawaida tukikutana barabaran ni salamu tu hakuna story zingine(kama n msaarabu lakini) kama ni wale wanaoleta maneno mbovumbovu hakika sitaki hata unisalimie wala kuniuliza kitu na hata kuntext kwa bahati mbaya sitaki kabisaaaa

vipi? mlishabwagana na yule jamaa yako aliyekuwa anakutukana?
 
vipi? mlishabwagana na yule jamaa yako aliyekuwa anakutukana?

Hahaha hapana andaa mchango wako wa harusi...!af mim sinaga historia ya kumwagwa ila kumwaga nkiona dalili za hatar tu najitoa fasta,C vizuri kumwagwa jtahd kusoma mazingira ukiona hatar unajtoa
 
Hahaha hapana andaa mchango wako wa harusi...!af mim sinaga historia ya kumwagwa ila kumwaga nkiona dalili za hatar tu najitoa fasta,C vizuri kumwagwa jtahd kusoma mazingira ukiona hatar unajtoa

mhm mbona mademu wengi sana humu wanasema wao wanabwaga na sio kubwagwa...kweli ama ndio usanii wa jf? haya bwana so upo ready kuvumilia mitusi ndani ya ndoa? sie twla mchle na kusepa matusi kazi kwako
 
Haha bila shaka alikutenda vbaya na mliachana bado unapenda na nahc yey hakuna anakupenda km ulivokua unampenda,na inavoonekana wew ukipata ka chance lazima ugonge mzgo...haha

very true indeed...
alinipenda sana....gafla akabadika na kuniambia hana Hisia na mm tena...niliumia sana saivi amebaki kuwa rafik...nilijitaidi kumchukia lakin nilishindwa
 
Habari zenu wanajamvi ni matumaini mu wazima kabisa
Nauhakika asilimia kubwa yetu humu tumepitia mahusiano kadhaa kabla ya ndoa(kwa waliooa na kuolewa) na kwa wale ambao hawako katika mahusiano sasa baada ya kukumbwa na mahasibu tofauti tofauti,na kila mtu ana mtazamo tofauti kwa hao ma EX,je wewe unamchukuliaje EX wako?Rafiki yako?Adui?
Binafsi EX hawezi kua rafiki yangu wala adui yangu yan namuweka katika group la mtu wa kawaida tukikutana barabaran ni salamu tu hakuna story zingine(kama n msaarabu lakini) kama ni wale wanaoleta maneno mbovumbovu hakika sitaki hata unisalimie wala kuniuliza kitu na hata kuntext kwa bahati mbaya sitaki kabisaaaa

Ex imeleta neno "Expired" ko vile ninavochukulia kitu kilichoxpire ndivyo ninavyowachukulia maX wangu
 
mhm mbona mademu wengi sana humu wanasema wao wanabwaga na sio kubwagwa...kweli ama ndio usanii wa jf? haya bwana so upo ready kuvumilia mitusi ndani ya ndoa? sie twla mchle na kusepa matusi kazi kwako

haha me nawew hapa hatutaweza kuelewana labda PM...!ushaur wa wana JF ulinsaidia nkasolve tatzo ivo ni vicheko tu
 
mie salama tuu nasubiria kuja kucheza harusi mwaya....sijui naweza pata mgegedo kabla hujaolewa lol
Haha hakuna kitu kama hcho naogopa utanogewa af ije kua tabu
 
Ex imeleta neno "Expired" ko vile ninavochukulia kitu kilichoxpire ndivyo ninavyowachukulia maX wangu
Kweli kabisa ukijichanganya nao unapata madhara
 
very true indeed...
alinipenda sana....gafla akabadika na kuniambia hana Hisia na mm tena...niliumia sana saivi amebaki kuwa rafik...nilijitaidi kumchukia lakin nilishindwa
Ucmchukie loôks like ur still into hm/her ku avoid other disapointment km u ar in other relationshp punguza contact nae asije akaku take for granted
 
Back
Top Bottom