Unamchukuliaje ex wako?

Unamchukuliaje ex wako?

Niliwah kumjulia hali tu x-wangu, akanijibu, UNATAKA NIKUTUKANE AU?? UFUTE NAMBA YANGU...USINIJUE.....hahaha, huyo ni gash niliyekaa naye miaka 2 na niliwah kumtamkia ndoa.....
 
nkipita nmepita huwa nakung'uta vumbi natembea though nlikuwa cjakuwa now I appreciate nmekuwa
 
Mara nyingi wanaume huwa tunachukulia kama friend tu,, ila wenzetu ni uadui...tena wakupitiliza....

X wangu alipofiwa na Mama yake Mzazi mm kwenda msibani MC akatangaza SITAKIWI niwepo!Nikavaa malapa yangu nikaondoka!

Baadaye akani text kuwa mchumba wake mpya hataki niwe sehemu yyt alipo;Nikamuelewa!
 
X wangu alipofiwa na Mama yake Mzazi mm kwenda msibani MC akatangaza SITAKIWI niwepo!Nikavaa malapa yangu nikaondoka!

Baadaye akani text kuwa mchumba wake mpya hataki niwe sehemu yyt alipo;Nikamuelewa!
Hee makubwa haya na polee,ila huyo mchumba wake hajiamin kwakwel
 
Inategemea na jinsi mlivyoachana. Kuna wengine mnaona kabisa mna mifumo tofauti ya maisha uhusiano hautawezekana mnaamua for good muachane. Wengine wnaachana kwa kufumaniana. Mwisho wa siku sababu ya kuachana ndo itaamua mchukuliane vipi.
 
jungu tena lile la ally mapilau! na mafiga yake ya chuma!
ehehehheheheh kwanza ulikuwa wapi siku mbili hizi!
mekumiss ujue!oh!
ha haaa, kama unamfanyia majungu hadi dadako basi huko tulikokupeleka hakufai, lol!
nipo mdogo wangu. nimekumiss pia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mhhhhh! bado hazijatimia tu tukajichane sehemu sehemu kwa raha zetu!? au umekosea kuhesabu snowhite!? Hebu hesabu tena banaaaa! Dadaako alikuwa kafichwa na Teja kwa raha zao.

jungu tena lile la ally mapilau! na mafiga yake ya chuma!
ehehehheheheh kwanza ulikuwa wapi siku mbili hizi!
mekumiss ujue!oh!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom