Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,820
- 10,019
- Thread starter
- #41
Haina shida mkuu, tuko pamojaUnachowaza wewe si sheria hayo ni mawazo yako usisite kunywa maji mengi moyo uelee
Haina shida mkuu, tuko pamojaUnachowaza wewe si sheria hayo ni mawazo yako usisite kunywa maji mengi moyo uelee
Huu ujumbe ni muhimu kwetu sisi wanaume wa Tanzania, na Africa kwa ujumlaNa kuunga mkono katika hilo,hamna mwanaumme yoyote mwenye maono na focused kwa future na maendeleo anae weza kuenda zaidi ya round 3, na mwana umme kwa kutumia zaidi na lisaa na kubadili ditaili mbalimbali.
Ukiona mwana umme iko hivo na ni tajiri jua mali alio nao ni ya urithi au wizi au kapewa kirahisi hakuitafita mwenyewe kupenda ngono hakushabikiane na akili za kupata kabisa ni sie masikini tunao waza ngono na kupoteza mda kuwaza wanawake, eti tunatafuta nguvu za kiume kuwaridhisha wake zetu, loh umasikini ni mzigo.
Kumbe hamjui kuwa tunahangaika.. yani hamtupi attention kabisaKumbe nanyi mnaangaika
Pole aiseeKumbe hamjui kuwa tunahangaika.. yani hamtupi attention kabisa
A bora nilale bar.. kuliko kwenye hivyo vifuaPole aisee
KabisaS
A bora nilale bar.. kuliko kwenye hivyo vifua
Mara mia mkuu, itapendeza zaidi. Mie bora hata ukanilaze juu ya kaburi kwa kweliS
A bora nilale bar.. kuliko kwenye hivyo vifua
Tunajisumbua kuridhisha wasioridhika...Mara mia mkuu, itapendeza zaidi. Mie bora hata ukanilaze juu ya kaburi kwa kweli
Na kweli mkuu,Tunajisumbua kuridhisha wasioridhika...
Na kweli mkuu, ni vyema kukumbushana sisi kama wanaume. Mambo ni mengi, hivyo sometimes tunajisahau kupitilizaAah we jamaa umeongea point sana ebu kunywa soda ya kopo na ujilipie
AiseeKarne ya 21: Relationships with no purpose
Sijakataa mkuu, mwanamke ni chombo cha starehe, na pia wameumbwa kwa ajili yetu. Lakini haikupaswa kuwanyenyekea kivile hadi kufikia hatua ya ku modify maumbile yetu kwa ajili yao, kubadili mifumo yetu ya maisha kwa ajili yao. Huu ni udhaifu uliotukuka. Kama pesa tuwape, lakini sio kuwanyenyekea kihivyoStarehe ya mwanaume rijali Ni wanawake na pombe.
Afu mkuu usitupangie maisha baba.
Yeah why are you in that relationship?Aisee
Personally, I'm not into romantic relationships at all. This is because I was not born with the habit of submissive to women. I don't even talk to my female neighbors. And that uniqueness is what makes them give me the sweetness they expect, again without any cost In addition, they don't even ask me for money, and I don't make love for more than a quarter of an hour, but they still bring me their pussy as usual.Yeah why are you in that relationship?
Sawa, tufanye yote pasi na kumnyenyekea mwanamke kwa kumuoma yeye ni sawa na Mungu, kwamba bila yeye hakuna maisha, eti huko tayari kuongeza dubwana kwa ajili ya kumfurahisha yeye at all. Kwani pesa unazompa ni za kazi gani, si akazitumie kukojolea?Mtoa mada tunaishi kutafuta furaha maana huzuni zinakuja zenyewe... though ni ushauri mzuri ila ukiwa serious sana na haya maisha utakosa nuru