Msolid1990
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 144
- 50
Imekaaje siku umepost thread ya kutafuta gf/bf huku jf. Then anajitokeza mtu ambaye yuko serious mnapanga kukutana. Unexpectedly unakuta ni dada/kakaako ambaye alikua anakusisitiza sana usijiingize kwenye masuala ya mapenzi mapema.