hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,314
- 80,187
Hahaha
Ndiyo kwa vile mleta uzi ni form 2!
Ndiyo kwa vile mleta uzi ni form 2!
WATU WASIO SAHIHI KAMA HUYU MLETA MADA,AACHANE NA MAPENZI AKAONGELEE SIASAWatu wasio sahihi kivip? Acha ubaguzi
vitu positive huwa vinatendwa tuu,.. ukiona umekaa na wanaume wakawa wanaongelea issue negative km za ngono ujue ww ndo wamekuona uko kingono ngonoHivi kwanini unakuta wanaume ukikaa naohupenda kuongelea debate za ngono??
Wanawake wenye tako wakipita ndio shida kabisa kwanini lakini badala yakuwaza vitu positive
Hao ni vijana wa kiume mitaani si vema ukawajumuisha na wanaume kaziniHivi kwanini unakuta wanaume ukikaa naohupenda kuongelea debate za ngono??
Wanawake wenye tako wakipita ndio shida kabisa kwanini lakini badala yakuwaza vitu positive
TrueHao ni vijana wa kiume mitaani si vema ukawajumuisha na wanaume kazini
No sikuwa naovitu positive huwa vinatendwa tuu,.. ukiona umekaa na wanaume wakawa wanaongelea issue negative km za ngono ujue ww ndo wamekuona uko kingono ngono
Wewe nawewe sio mtu sahihi kwa maana umecomment unamahamu yako pelekea mbwa kokoWATU WASIO SAHIHI KAMA HUYU MLETA MADA,AACHANE NA MAPENZI AKAONGELEE SIASA
Chekechea kidudu mtu huna haya wewe kazi kujishebedua na huna seraNdiyo kwa vile mleta uzi ni form 2!
Sijaelewa lugha yako so l won't be offended!Chekechea kidudu mtu huna haya wewe kazi kujishebedua na huna sera
MBONA KAMA UNATESEKA HIVI BEBENi negative kama kikizungumzwa mahali pasipo sahihi na watu wasio sahihi