The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,437
Majaribu kuniuliza sipati picha kwamba ni ulimbukeni,utoto,kutojiamini au ujinga?
Haiwezekani mtu mda wote Yuko busy na simu kama kwamba ni sehemu ya kiungo cha mwili wake.Unaongea na mtu unabonyeza simu mda wote.
Watu mpaka wanagongana au wanataka kugongwa kisa simu.Kwa Sasa imefika mahala unakuta dereva anaendesha boda au gari huku anachati,hii ni dangerous habit na ulevi wa kipumbavu.
Hii tabia imeota mizizi hususani Kwa Vijana na ndio maana Huduma za jamii zinazorota Kwa simu kuwa sehemu ya uzembe.Nakumbuka Waziri Simbachawene aliwahi pendekezwa Watumishi wa Umma wasiingie kazini na simu Hadi baada ya mda wa kazi.
Tunakoelekea tutakuwa na kizazi Cha mazombie.
Haiwezekani mtu mda wote Yuko busy na simu kama kwamba ni sehemu ya kiungo cha mwili wake.Unaongea na mtu unabonyeza simu mda wote.
Watu mpaka wanagongana au wanataka kugongwa kisa simu.Kwa Sasa imefika mahala unakuta dereva anaendesha boda au gari huku anachati,hii ni dangerous habit na ulevi wa kipumbavu.
Hii tabia imeota mizizi hususani Kwa Vijana na ndio maana Huduma za jamii zinazorota Kwa simu kuwa sehemu ya uzembe.Nakumbuka Waziri Simbachawene aliwahi pendekezwa Watumishi wa Umma wasiingie kazini na simu Hadi baada ya mda wa kazi.
Tunakoelekea tutakuwa na kizazi Cha mazombie.