Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,602
- 9,345
Guys leo nimejikuta nakumbuka siku niliyoonja pombe kwa mara ya kwanza! Ilikuwa standard 2 wakati tunaiba za mzee then tunajazia maji akaja kustukia kitu hakiwi na ladha akatuzingua balaa ila kuanzia kipindi hicho ni ulanzi kwenda mbele enzi za boarding Iringa huko!