Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
What do you remember about that day and your thoughts....
I remember the first thing that I said was "no they didn't!"...
Nilikuwa kwenye daladala natokea Mwenge nakwenda mjini. Kilichonishangaza ni watu wa Dar kukimbilia huko kwenye mlipuko.
wote waliokufa walikuwa ni watanzania, kama sijakosea idadi yao ilikuwa ni 11.