100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,236
- 36,605
Sidhani kama yana exist labda online.Hilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi
Sidhani kama yana exist labda online.
Kweli we ulicheza,Mortal kombat bwana dah!!
Hilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi
yapo had leoHilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi
Maduka gani?yapo had leo
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Wow,napnd sna kuona girls wanajua kuhusu games ,mko wachache sanaHilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi
My ex alikua anakesha na call of duty modern warfare na 2k17 humwelezi kitu. Sijui kama bado anachezaga since we broke up. It was fun, maan tulikua tunashinda ndani mwendo wa gemu tuu tukichoka ni mwendo wa series kumchek Jack Bauer anavopambana na mbabe Vladimir gredenkoWow,napnd sna kuona girls wanajua kuhusu games ,mko wachache sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rare sana kukuta girls wapo interested na games basi ulikuwa na bahati nzuri.My ex alikua anakesha na call of duty modern warfare na 2k17 humwelezi kitu. Sijui kama bado anachezaga since we broke up. It was fun, maan tulikua tunashinda ndani mwendo wa gemu tuu tukichoka ni mwendo wa series kumchek Jack Bauer anavopambana na mbabe Vladimir gredenko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi
Uliinunua kwenye foleni?Hivi karibuni niliinunua hiyo kwenye foleni. Kuna mtoto akaniganda nikamuachia.
Games ukiziendekeza unakuwa teja. Naziogopa kwa Dhabi. Game ya super Mario ndio ilininasisha kwa paw[emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliinunua kwenye foleni?
Game ya super mario ilikunasisha kwa Paw??
Paw huyu huyu tunayemfahamu?😛