Unakumbuka hili... La Uganda na Tanzania

Duh, Kumbe Style hii ya U-Dr. Imeanza sikunyingi maana hii ni Nov. 2, 1978, Nasubiri siku MKWEREE aseme na Nyerere alipewa akawa Dr. Nyerere kama Dr. Mkapa, Dr. Karume, Dr. Salmin Amour, Dr. Mwinyi????, Dr Riz 1, .....
attachment.php


View attachment 41691

Hapana, Nyerere alikuwa haitwi "Dr. Nyerere," alikuwa anaitwa "Mwalimu Nyerere" au "Ndugu Nyerere". Ila waandishi wa nje pamoja na wasomi wa nje ndio walikuwa wanampa hiyo taito ya "Dr". kwa vile walikuwa wanapata ugumu wa kumwita Mr Nyerere, na walikuwa vile vile hawawezi kumwita "Mwalimu Nyerere" and "Ngugu Nyerere."
 
Sijaona mantiki ya ile vita zaidi...

Ilikuwa ya ki-rafiki zaidi kuliko kulinda mipaka...
 
Hapana, Nyerere alikuwa haitwi "Dr. Nyerere," alikuwa anaitwa "Mwalimu Nyerere" au "Ndugu Nyerere". Ila waandishi wa nje pamoja na wasomi wa nje ndio walikuwa wanampa hiyo taito ya "Dr". kwa vile walikuwa wanapata ugumu wa kumwita Mr Nyerere, na walikuwa vile vile hawawezi kumwita "Mwalimu Nyerere" and "Ngugu Nyerere."

Sikumbuki kabisa kama kuna wakati wowote ambapo Nyerere alikuwa madarakani ambapo wananchi au Watanzania na hata Waafrika walikuwa wanamuita "Dr. Nyerere". Siyo kwamba tulikuwa hatujui amepata shahada kadhaa za Udaktari wa heshima.
 
Back
Top Bottom