Umenikumbusha mbali sana kaka,bila ya hako kagari mama alikuwa hanitumi dukani na hata nisipokachukua lazima aniulize mbona hujachukua gari lako.Na alijua kabisa nikikachukua ni mbio kwenda na kurudi,ila nisipokachukua muda nitakaotumia kwenda na kurudi ni mara tatu..
DAh long time sana, ubunifu 100% siku hizi sijaona watoto wakitengeneza hizi issue
Sikumbuki
hahahaha, safi sana aisee. Afu hii ilikuwaga gari ama pikipiki? Kakangu (he was a cowboy, RIP) alikuwa anavaa helmet sufuria. Lol
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us