Unakubalije kuachishwa kazi na mwanaume?

Mimi binafsi nitakubali kuacha kama atakubali na atakuwa na uwezo wa kunipa hela za kutuma kwa wazazi wangu na wadogo zangu kama ninavyofanya sasa. Bila kusahau kulipa ada za shule za wadogo zangu na hela zao za matumizi. Ambazo zote hizo nafanya Mimi mwenyewe kwa kutegemea kazi.
Pia baada ya hapo anitunze na Mimi aninunulie mahitaji yotee. Tofauti na hapo aniache nipambane na hali yangu. Wazazi wangu hawakunisomesha ili vyeti niweke kabatini huku nao wanateseka shida na uzee.
kwani kakuoa ili akutatulie matatizo yako na ukoo wenu! duh, kuoa mwanamke wa tz ni stress tupu, ni kujitakia kufirisika, maana akutunze wewe,ndugu zako, ndugu zake na bado yeye mwenyewe.....ndio maana wanaume wengi waliooa wanakufa mapema, duh
 
Acha kutudanganya bwana wee.....eti mwanamke akiwa na kazi anakupunguzi mzigo...nyooo....mwanamke ata alipwe billion bado atataka mwanaume alipe bill zote ndani ga nyumba.

Mwanamke hata kama ni Governor wa BOT halafu mume wake ni msafisha kucha au muuza mananasi kariakoo.

Linapokuja suala la responsibilities, lazima tu mwanamke huyo atamtaka mume wake ndio anunue mboga.

Nature is unadjustable.
 
kwani kakuoa ili akutatulie matatizo yako na ukoo wenu! duh, kuoa mwanamke wa tz ni stress tupu, ni kujitakia kufirisika, maana akutunze wewe,ndugu zako, ndugu zake na bado yeye mwenyewe.....ndio maana wanaume wengi waliooa wanakufa mapema, duh
Umenisoma vizuri lakini?
Hayo majukumu ya wazazi na ndugu zangu Mimi ndiyo ninayeyafanya.
Na ninategemea hii kazi ili niweze kukidhi mahitaji yao.
Leo nikiacha kazi nani atawaangalia? Hivyo kama akiniachisha kazi akubali kubeba hayo majukumu.
Kipi kisichoeleweka mpendwa?
 
Mimi binafsi nitakubali kuacha kama atakubali na atakuwa na uwezo wa kunipa hela za kutuma kwa wazazi wangu na wadogo zangu kama ninavyofanya sasa. Bila kusahau kulipa ada za shule za wadogo zangu na hela zao za matumizi. Ambazo zote hizo nafanya Mimi mwenyewe kwa kutegemea kazi.
Pia baada ya hapo anitunze na Mimi aninunulie mahitaji yotee. Tofauti na hapo aniache nipambane na hali yangu. Wazazi wangu hawakunisomesha ili vyeti niweke kabatini huku nao wanateseka shida na uzee.

Raha sana mwanaume ukiwajua wanawake maana itakufanya ujue jinsi ya kufanya chaguzi sahihi kuendana na falsafa zako na ukaishi kwa amani kabisa.

hapo kwenye blue ndivyo jinsi wanawake wengi wenye kazi zao walivyo! nadra sana kuona wakizipa priority familia zao walizojenga wao na waume zao kwenye vipato vyao.

You precisely exemplify married career/employed women.
 
Unaolewa kujenga familia yenu na mme na sio ya ulipotokea. Wao wajiangalie wenyewe
Umenisoma vizuri lakini?
Hayo majukumu ya wazazi na ndugu zangu Mimi ndiyo ninayeyafanya.
Na ninategemea hii kazi ili niweze kukidhi mahitaji yao.
Leo nikiacha kazi nani atawaangalia? Hivyo kama akiniachisha kazi akubali kubeba hayo majukumu.
Kipi kisichoeleweka mpendwa?
 
Mwanamke hata kama ni Governor wa BOT halafu mume wake ni msafisha kucha au muuza mananasi kariakoo.

Linapokuja suala la responsibilities, lazima tu mwanamke huyo atamtaka mume wake ndio anunue mboga.

Nature is unadjustable.
A man should provide for his family, and to protect them. Kwa hiyo sisi tutasaidia tuu tukiamua maana si jukumu letu. Na akisema niache kazi anatakiwa anioneshe kwamba he's capable of being a good provider and protector. Siyo niache kazi unilishe miugali kila siku.
BTW, I have missed arguing with you
 
Raha sana mwanaume ukiwajua wanawake maana itakufanya ujue jinsi ya kufanya chaguzi sahihi kuendana na falsafa zako na ukaishi kwa amani kabisa.

hapo kwenye blue ndivyo jinsi wanawake wengi wenye kazi zao walivyo! nadra sana kuona wakizipa priority familia zao walizojenga wao na waume zao kwenye vipato vyao.

You precisely exemplify married career/employed women.
Hahahahahaha Lizarazu bhana
 
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu wanawake kuolewa halafu Wanaambiw waache kazi na waume zao. Yaani mfano mwanamke ni mwalimu akishaolewa anaambiwa acha kazi ukae nyumbani nitakuhudumia kwa kila kitu, na yeye anakubali kuacha kazi.

Hivi kweli mtu umesoma na wakati mwingine kazi hiyo kuipata nguvu imetumika, halafu unakubali kirahisi rahisi tu kuacha kazi ili ukae nyumbani ulee watoto, mwisho wa siku ukikubali kuacha kazi unapewa huduma kwa muda mambo yanabadilika mnaanza kulia lia, huu ni ujinga usio na mfano.

Lakini pia na nyie wanaume huwa mnafikria nini kumuachisha mkeo kazi ili akae nyumbani? Huku ni kutokujiamini, uoga na wivu kijinga, kwanza mwanamke akifanya kazi anakuwa na uwezo wa kujihudumia na kukupunguzia mzigo, Vilevile ni rahisi kuepuka vishwawishi tofauti na wale waliokaa tu bila kazi. Lakini pia hakuna aijuaye kesho yake, mwanamke akiwa na kazi ni rahisi kuhudumia familia pindi Mungu akikuchukua tofauti na yule ambae hana kazi.
You are wrong.

1 kumhudumia mke na familia kwetu siyo mzigo ni jukumu letu la kisheria na kiroho.Hivyo mke afanye kazi au asifanye haituondolei wajibu huu, achangie au asichangie haongezi wala hapunguzi chochote bado wajibu wetu ni ule ule.

2 Suala la mwanamke kuhudumia baada ya Mme kufa nani kakwambia mwanaume ndiye anayetangulia kufa ? Je mfu hubaki na deni la kuhudumia waliohai?

3 Ndoa ya baba anatoka anarudi usiku na mama anatoka anarudi usiku siyo ndoa tena ni partnership, Mme yuko Dar kikazi wife yuko iringa kikazi is that marriage ?

Kama umeambiwa uache kazi ili uolewe ni uamuzi wako kuchagua kipi unachokipenda zaidi kazi au Mme .
 
Unaolewa kujenga familia yenu na mme na sio ya ulipotokea. Wao wajiangalie wenyewe
Unless kama na mwanaume pia haangaiki na alipotokea. Ila kama mwanaume atapamnbana na wazazi wake na ndugu zake kwa nini Mimi niache wazazi wangu walioenda kwenye vibarua vya kulima ili nipate ada niende shule, niwaache wateseke na uwezo wa kuwafanya waishi vizuri ninao?
 
Walau atajinunulia chupi na lotion
We ndo ulipe bill

Au utanunua kiiila kitu?.
Tena katika vitu ambavyo mie nitakuwa mstari wa mbele kumnunulia mke wangu ni chupi....hapo nanunua zile napenda mie.

Mie nimioa namwambia mke kabisa kuwa hela yako fanya utakalo wali sitauliza senti. Ila cha msingi mie ndani ya nyumba nachoomba ni no stress and must be the most peaceful place on this earth for me...thats all i ask.
 
Tena katika vitu ambavyo mie nitakuwa mstari wa mbele kumnunulia mke wangu ni chupi....hapo nanunua zile napenda mie.

Mie nimioa namwambia mke kabisa kuwa hela yako fanya utakalo wali sitauliza senti. Ila cha msingi mie ndani ya nyumba nachoomba ni no stress and must be the most peaceful place on this earth for me...thats all i ask.
Mhh haya ngja ufike ndo utapata picha kamili
 
Mimi ni kila mtu kivyake pigana unavyojua ufanikishe utoke kivyako.
Ukifeli umefeli wewe
Ukifanikiwa umefanikiwa wewe

Ujamaa ndio maana hatuendelei.
Unless kama na mwanaume pia haangaiki na alipotokea. Ila kama mwanaume atapamnbana na wazazi wake na ndugu zake kwa nini Mimi niache wazazi wangu walioenda kwenye vibarua vya kulima ili nipate ada niende shule, niwaache wateseke na uwezo wa kuwafanya waishi vizuri ninao?
 
Back
Top Bottom