Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,285
- 83,683
Kukiuka maagizo ya Mungu na mwili kuwa hekalu la shetani vinahusiana nini? Ndugu yangu maandiko waachie wanaojua kuyatafsiri ninyi mnaoyasoma kama hadithi mnayageuza yawe kama mnavyotaka ninyi jiulize kama kosa lilikuwa ni la Evah tu kwanini hakupewa adhabu peke yake kwanini hadi Adam naye alipewa adhabu?
Tukianzia hapo hapo kwenye biblia hivi msababishi wa maovu yote au kuharibika kwa huu ulimwengu alikuwa ni nani? naongelea aliyeanza kukiuka agizo la Creator/sir God