Unakubaliana na mimi??

Unakubaliana na mimi??

Mndengereko

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
7,306
Reaction score
3,413
SNAG-14040211062800.png SNAG-14040211015200.png


SNAG-14040211125300.png SNAG-14040217151700.png

unakubaliana na mimi ??? utofauti katika maisha yetu ya kila siku kati ya wanawake na wanaume na jinsi tunavyoya prioritize mambo yetu!!,nini maoni yako? wapi nimezidisha na wapi nimepunguza,karibuni.

cc : Tized utafiti Zinduna Karucee Heaven on Earth miss chagga Mokoyo Mr Rocky Ntuzu miss neddy Excel kabanga ICHANA Vaislay Kim nana , Eshy m.s na wengineo
 

Attachments

  • SNAG-14040216560400.png
    SNAG-14040216560400.png
    9.9 KB · Views: 210
Siku hizi kuna breed mpya ya wanaume. Mimbeaaaa!! Hizi data zako ni za mwaka gani kissing mate?
za leo leo hizi hao wanaume wambea watakuwa kwenye sehemu ndogo sana ya jamii na very possible ni baadhi ya maeneo
 
mmmh kuna ya kweli ila
wanaume na wanaweke kwenye mapenzi tupo sawa bwana tena nahisi nyie mmezidi....
 
Hebu tuombe radhi. Yaani wanawake hatufikirii kazi za ujenzi wa taifa na kutunza familia tunakalia umbea tu? Hizi data zako nazikataa. Hebu twambie hayo majedwali umeyachora kutoka kwenye data ulizozikusanya kwa mtindo gani? Uliwahoji wanaume wangapi na wanawake wangapi? Uliwahoji wanawake wa mjini au vijijini? Uliwahoji walioolewa au wasioolewa? Uliwahoji wamama wa nyumbani au walioajiriwa?

Acha hizo bwana.

Tiba
 
mmmh kuna ya kweli ila
wanaume na wanaweke kwenye mapenzi tupo sawa bwana tena nahisi nyie mmezidi....
unafikiri r.kelly alikosea kuimba when a woman loves,she loves for real,and she can do anything to protect her love na hapo ndipo mnapotuzidi katika mapenzi.

 
Last edited by a moderator:
Hujaeka PESA!!!
pesa inaingia kwenye mengineyo,by the way pesa ni controversial sana kuna wanawake wengine huwa na wapenzi wengine just kwa sababu ya pesa ila mapenzi yao ya dhati yapo kwa wengine na hata huwaonga ili kuwaridhisa kama wanawapenda
 
Hebu tuombe radhi. Yaani wanawake hatufikirii kazi za ujenzi wa taifa na kutunza familia tunakalia umbea tu? Hizi data zako nazikataa. Hebu twambie hayo majedwali umeyachora kutoka kwenye data ulizozikusanya kwa mtindo gani? Uliwahoji wanaume wangapi na wanawake wangapi? Uliwahoji wanawake wa mjini au vijijini? Uliwahoji walioolewa au wasioolewa? Uliwahoji wamama wa nyumbani au walioajiriwa?

Acha hizo bwana.

Tiba

ukiangalia kwa makini kuna mambo mengi sana sijayaweka huwezi kuweka kila kitu so kwa kusummarize nimechagua tu ambayo huwa yanakuwa part of our lives kila siku,kuhusu maswala ya kutunza familia na kazi za ujenzi wa taifa pande zote mbili zijahusisha data zake by the way hayo ni maoni yangu na wewe pia una uhuru wa kuweka maoni yako na kuandika(kuwasilisha) unavyohisi ni sahihi.
 
unafikiri r.kelly alikosea kuimba when a woman loves,she loves for real,and she can do anything to protect her love na hapo ndipo mnapotuzidi katika mapenzi.



Thanks boss tukipenda ni kweli tunapenda with all our heart
 
Last edited by a moderator:
Yeah! nakubaliana na wewe, ila hapo kwenye mpira hapo... interest zipo sawa na sisi ungetuwekea Netball au rede
 
ukiangalia kwa makini kuna mambo mengi sana sijayaweka huwezi kuweka kila kitu so kwa kusummarize nimechagua tu ambayo huwa yanakuwa part of our lives kila siku,kuhusu maswala ya kutunza familia na kazi za ujenzi wa taifa pande zote mbili zijahusisha data zake by the way hayo ni maoni yangu na wewe pia una uhuru wa kuweka maoni yako na kuandika(kuwasilisha) unavyohisi ni sahihi.

Sawa umeweka ulichoamua kukiweka, sasa twambie hiyo conclusion yako imedraw kutoka kwenye data ulizozikusanya mtindo gani? Hebu twambie hilo basi.

Tiba
 
Back
Top Bottom