Unakipaji gani?

Unakipaji gani?

Kwa mapigo ya kigeto geto wengi wetu tunachukua M audio mid keyboard Tsh 600000 mpka 650000.

Au hata Piano Tyros 400000 pka laki tano ingawa sio kizuri sana......

Kama mkwanja upo kuna Yamaha psr 550 unaweza pata hata kwa Mil 1.3 mpka point 5.

Yani kwa kifupi vipo vingi sana ukiingia mtandaoni utakuta vyote na bei zake
Safi nakujifunza je inaweza kuchukua mda??
 
Ukiachana na mambo tuliyo bobea baada ya kufundishwa kila mtu anakipaji chake alicho zaliwa nacho, mwengine vipaji vyao wanavijua mwengine mpaka sasa hajui ana kipaji ngani
mm kipaji changu ni uchoraji nilijikuta najua kuchora tokea nikiwa mdogo sema sikukiendeleza saivi naona kinafifia fifia kidogo lakini bado kipo
Kama mnajua kipaji chako tuambie ni kipi unaweza ukampata mtu mnaoendanda
Kumbuka: kipaji sio ujuzi(skills) hata mtu anaejua kuandika code sana hicho sio kipaji alijifunza au labda amezaliwa anajua Java na c shap ndo kitakua kipaji.
Pia kama huna kipaji nakupa pole, au ulikua nacho kikapotea embu tuambie
Kipaji changu ni kuimba lakini pia najua ku-dance
 
aisee, nna kipaji cha drafti, kitu cha gambling (kiwanda) pande za tandale kama Vegas uku silali njaa kabisa
 
Back
Top Bottom