Unakipaji gani?

Unakipaji gani?

Saxophone hujawahi kupuliza bwana mdogo?
Nina kipaji cha kuimba.......kutengeneza mziki.....kupiga gita......kupiga kinandaa...

Believe guys.....hayo yote hakuna alie nifundisha......
Siku niliokutana na kinanda nikichezea chezea ndani wiki moja tu nikawa nakipiga hatari...

Waumini wenzangu mpka leo huwa wakikumbuka wanabaki wanadata nakijiuliza hivi mi mchawi how........yn within one week.

Gita nilipoamua kulishika ndani ya mwez mmoja nikawa naburuza nyuzi kama sina akili nzuri...yn kama ninauzoefu wa miaka 20 wa kulipiga.

Mpka leo watu wengine wameshaniweka kama mpiga gita wa ajabu kuwahi kumshuhudia kwenye maisha yao.

Music and evry thng about music is my talent
 
Kama haukufundishwa kupiga kinanda hakika haujui kukipiga huwa unakichezea tu
Nina kipaji cha kuimba.......kutengeneza mziki.....kupiga gita......kupiga kinandaa...

Believe guys.....hayo yote hakuna alie nifundisha......
Siku niliokutana na kinanda nikichezea chezea ndani wiki moja tu nikawa nakipiga hatari...

Waumini wenzangu mpka leo huwa wakikumbuka wanabaki wanadata nakijiuliza hivi mi mchawi how........yn within one week. Hata mim mwenyewe nilikua najishangaa

Gita nilipoamua kulishika ndani ya mwez mmoja nikawa naburuza nyuzi kama sina akili nzuri...yn kama ninauzoefu wa miaka 20 wa kulipiga.

Mpka leo watu wengine wameshaniweka kama mpiga gita wa ajabu kuwahi kumshuhudia kwenye maisha yao.

Music and evry thng about music is my talent
 
Kama haukufundishwa kupiga kinanda hakika haujui kukipiga huwa unakichezea tu
Kaka naomba nikuambie hv........nimepiga kwnye mikutano ya injili na matamasha zaidi ya 50 ya makanisa mbali mbali na nimepiga kinanda kwenye album zaidi ya 10 za kwaya mbali mbali...............hakuna nisichokijua kuhusu kupiga kinanda.....yn nakipiga kaka sio mchezo.........!!

Na baada ya kuwa nimeshakijua vzur kabisa ndo ikawa ile tukikutana na washkaji kwnye mikutano mbali mbali basi ndo tunaongezeana maujuzi kidgo na hyo ni kawaida kwa yoyote hata uwe talented vp lazma kuna skills za hapa na pale mpeane na watu ili kuivishana kisawa sawa
 
Sasa mada haijawa huko hunakotaka kwenda.........mada ni je unakipaji gani.........labda fungua ww uzi mwingine wa "* je kipaji chako kimekusaidia nin mpaka sasa""

Ndo tutakuja huko kukueleza faida tulizozipata kupitia vipaji vyetu
Kucharaza kwake kumemsaidia nini mpaka asaivi?
 
Back
Top Bottom