Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,286
- 18,546
Watu na vipaji vyao
Nina kipaji cha kuimba.......kutengeneza mziki.....kupiga gita......kupiga kinandaa...
Believe guys.....hayo yote hakuna alie nifundisha......
Siku niliokutana na kinanda nikichezea chezea ndani wiki moja tu nikawa nakipiga hatari...
Waumini wenzangu mpka leo huwa wakikumbuka wanabaki wanadata nakijiuliza hivi mi mchawi how........yn within one week.
Gita nilipoamua kulishika ndani ya mwez mmoja nikawa naburuza nyuzi kama sina akili nzuri...yn kama ninauzoefu wa miaka 20 wa kulipiga.
Mpka leo watu wengine wameshaniweka kama mpiga gita wa ajabu kuwahi kumshuhudia kwenye maisha yao.
Music and evry thng about music is my talent
Kuchora katuni
Nina kipaji cha kuimba.......kutengeneza mziki.....kupiga gita......kupiga kinandaa...
Believe guys.....hayo yote hakuna alie nifundisha......
Siku niliokutana na kinanda nikichezea chezea ndani wiki moja tu nikawa nakipiga hatari...
Waumini wenzangu mpka leo huwa wakikumbuka wanabaki wanadata nakijiuliza hivi mi mchawi how........yn within one week. Hata mim mwenyewe nilikua najishangaa
Gita nilipoamua kulishika ndani ya mwez mmoja nikawa naburuza nyuzi kama sina akili nzuri...yn kama ninauzoefu wa miaka 20 wa kulipiga.
Mpka leo watu wengine wameshaniweka kama mpiga gita wa ajabu kuwahi kumshuhudia kwenye maisha yao.
Music and evry thng about music is my talent
Saxophone hujawahi kupuliza bwana mdogo?
Kama haukufundishwa kupiga kinanda hakika haujui kukipiga huwa unakichezea tu
Acha ubishi bwana mdogo kuna dogo mwenzako ninae huku anacharaza kinanda pasipo mafunzo.
Unajua maana halisi ya kipaji.?
Sitaki kuweka maisha yake humu ila anafanya kazi na taasisi moja kubwa ya muziki hapa nchini.Kucharaza kwake kumemsaidia nini mpaka asaivi?
Kaka naomba nikuambie hv........nimepiga kwnye mikutano ya injili na matamasha zaidi ya 50 ya makanisa mbali mbali na nimepiga kinanda kwenye album zaidi ya 10 za kwaya mbali mbali...............hakuna nisichokijua kuhusu kupiga kinanda.....yn nakipiga kaka sio mchezo.........!!Kama haukufundishwa kupiga kinanda hakika haujui kukipiga huwa unakichezea tu
Kabla sijasema changu naomba kuuliza,.kugegedana nacho ni kipaji???
Kabla sijasema changu naomba kuuliza,.kugegedana nacho ni kipaji???
Kabla sijasema changu naomba kuuliza,.kugegedana nacho ni kipaji???
Ndio ni kipaji ,kipaji changu ni kulenga yaani nna shabaha yakulengaKabla sijasema changu naomba kuuliza,.kugegedana nacho ni kipaji???
Kucharaza kwake kumemsaidia nini mpaka asaivi?
Ulifundishwa!!??Nipo vizuri kwenye Kinanda Piano na Church Organ ( Roman Catholic)
Allaaah,..Kama unagegedwa kama amber Ruth ni kipaji adimu sana
unamaanisha katuni mwenye tattoo au?Unaweza kuchora katuni zenye u
tattoos?